Una Mpango wa kwenda Dubai hivi karibuni? Haya ndo masharti unatakiwa kufahamu ili uweze kufurahia safari iliyo salama

Una Mpango wa kwenda Dubai hivi karibuni? Haya ndo masharti unatakiwa kufahamu ili uweze kufurahia safari iliyo salama

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Fahamu mambo ambayo huruhusiwi kuyafanya unapotembelea Dubai

1. Ingawa Dubai ni kitovu cha mitindo, hauruhusiwi kuvaa Nguo fupi, zinazobana sana, au zenye kufichua Mwili kwa kiasi kikubwa katika maeneo ya Umma. Hakikisha unavaa Mavazi yanayofunika Mabega na Magoti unapokuwa hadharani

2. Pia, hairuhusiwi kuonesha Vitendo vya Kimapenzi hadharani. Kushikana Mikono, Kubusu, au Kukumbatiana ni kosa linaloweza kusababisha kutozwa faini au hata kukamatwa.

3. Heshimu Tamaduni za Kiislamu. Kwa mfano, katika Mwezi mtukufu wa Ramadan, ingawa si lazima kwa wasio Waislamu kufunga, ni vyema kuepuka kula, kunywa (hata Maji), kutafuna chingamu (bubble gum), au kuvuta sigara hadharani wakati wa mchana.

4. Kuwapiga Watu picha ni suala nyeti katika Tamaduni za eneo hilo. Epuka kupiga picha za Watu, hasa Wanawake na Watoto, bila ruhusa yao. Pia, ni kinyume cha sheria kupiga Picha au Video za Watu bila idhini yao na kuzichapisha kwenye Mitandao ya Kijamii.
 
Fahamu mambo ambayo huruhusiwi kuyafanya unapotembelea Dubai

1. Ingawa Dubai ni kitovu cha mitindo, hauruhusiwi kuvaa Nguo fupi, zinazobana sana, au zenye kufichua Mwili kwa kiasi kikubwa katika maeneo ya Umma. Hakikisha unavaa Mavazi yanayofunika Mabega na Magoti unapokuwa hadharani

2. Pia, hairuhusiwi kuonesha Vitendo vya Kimapenzi hadharani. Kushikana Mikono, Kubusu, au Kukumbatiana ni kosa linaloweza kusababisha kutozwa faini au hata kukamatwa.

3. Heshimu Tamaduni za Kiislamu. Kwa mfano, katika Mwezi mtukufu wa Ramadan, ingawa si lazima kwa wasio Waislamu kufunga, ni vyema kuepuka kula, kunywa (hata Maji), kutafuna chingamu (bubble gum), au kuvuta sigara hadharani wakati wa mchana.

4. Kuwapiga Watu picha ni suala nyeti katika Tamaduni za eneo hilo. Epuka kupiga picha za Watu, hasa Wanawake na Watoto, bila ruhusa yao. Pia, ni kinyume cha sheria kupiga Picha au Video za Watu bila idhini yao na kuzichapisha kwenye Mitandao ya Kijamii.
Hizi sheria ya mavazi imeanza kutekelezwa lini? Nilikuwa huko mwezi wa kumi na sijaona hizo sheria. Watu wanajiachia na vikaptula na vitop tena kwenye public spaces na hamna hata mtu ana wakataza. Pale soko la Deira ndio kuna wanawake wanafanya uchangudoa masaa 24 na vinguo vya ajabu ajabu.
 
Fahamu mambo ambayo huruhusiwi kuyafanya unapotembelea Dubai

1. Ingawa Dubai ni kitovu cha mitindo, hauruhusiwi kuvaa Nguo fupi, zinazobana sana, au zenye kufichua Mwili kwa kiasi kikubwa katika maeneo ya Umma. Hakikisha unavaa Mavazi yanayofunika Mabega na Magoti unapokuwa hadharani

2. Pia, hairuhusiwi kuonesha Vitendo vya Kimapenzi hadharani. Kushikana Mikono, Kubusu, au Kukumbatiana ni kosa linaloweza kusababisha kutozwa faini au hata kukamatwa.

3. Heshimu Tamaduni za Kiislamu. Kwa mfano, katika Mwezi mtukufu wa Ramadan, ingawa si lazima kwa wasio Waislamu kufunga, ni vyema kuepuka kula, kunywa (hata Maji), kutafuna chingamu (bubble gum), au kuvuta sigara hadharani wakati wa mchana.

4. Kuwapiga Watu picha ni suala nyeti katika Tamaduni za eneo hilo. Epuka kupiga picha za Watu, hasa Wanawake na Watoto, bila ruhusa yao. Pia, ni kinyume cha sheria kupiga Picha au Video za Watu bila idhini yao na kuzichapisha kwenye Mitandao ya Kijamii.
No 3 ni upuuzi ila mengine sawa
 
Fahamu mambo ambayo huruhusiwi kuyafanya unapotembelea Dubai

1. Ingawa Dubai ni kitovu cha mitindo, hauruhusiwi kuvaa Nguo fupi, zinazobana sana, au zenye kufichua Mwili kwa kiasi kikubwa katika maeneo ya Umma. Hakikisha unavaa Mavazi yanayofunika Mabega na Magoti unapokuwa hadharani

2. Pia, hairuhusiwi kuonesha Vitendo vya Kimapenzi hadharani. Kushikana Mikono, Kubusu, au Kukumbatiana ni kosa linaloweza kusababisha kutozwa faini au hata kukamatwa.

3. Heshimu Tamaduni za Kiislamu. Kwa mfano, katika Mwezi mtukufu wa Ramadan, ingawa si lazima kwa wasio Waislamu kufunga, ni vyema kuepuka kula, kunywa (hata Maji), kutafuna chingamu (bubble gum), au kuvuta sigara hadharani wakati wa mchana.

4. Kuwapiga Watu picha ni suala nyeti katika Tamaduni za eneo hilo. Epuka kupiga picha za Watu, hasa Wanawake na Watoto, bila ruhusa yao. Pia, ni kinyume cha sheria kupiga Picha au Video za Watu bila idhini yao na kuzichapisha kwenye Mitandao ya Kijamii.
Nimependa hapo kwenye "chingamu"/chewing gum.
 
Fahamu mambo ambayo huruhusiwi kuyafanya unapotembelea Dubai

1. Ingawa Dubai ni kitovu cha mitindo, hauruhusiwi kuvaa Nguo fupi, zinazobana sana, au zenye kufichua Mwili kwa kiasi kikubwa katika maeneo ya Umma. Hakikisha unavaa Mavazi yanayofunika Mabega na Magoti unapokuwa hadharani

2. Pia, hairuhusiwi kuonesha Vitendo vya Kimapenzi hadharani. Kushikana Mikono, Kubusu, au Kukumbatiana ni kosa linaloweza kusababisha kutozwa faini au hata kukamatwa.

3. Heshimu Tamaduni za Kiislamu. Kwa mfano, katika Mwezi mtukufu wa Ramadan, ingawa si lazima kwa wasio Waislamu kufunga, ni vyema kuepuka kula, kunywa (hata Maji), kutafuna chingamu (bubble gum), au kuvuta sigara hadharani wakati wa mchana.

4. Kuwapiga Watu picha ni suala nyeti katika Tamaduni za eneo hilo. Epuka kupiga picha za Watu, hasa Wanawake na Watoto, bila ruhusa yao. Pia, ni kinyume cha sheria kupiga Picha au Video za Watu bila idhini yao na kuzichapisha kwenye Mitandao ya Kijamii.
Nimejifunza kitu kimoja warabu ni washenzi na mtu anapenda warabu ujue huyo udini unamsumbua kwakuwa Dada zetu warabuni wanakutana na majanga mkubwa ila wale wafia dini wanaendelea kusifia zile ng’ombe za Kiarabu
 
Hawa jamaa kwa kujifanya wema kumbe ndo kitovu cha ufirahuni na ubaguzi/unyanyasaji wa rangi. Dunia hii hakuna race hovu kama waarabu! Hapa Tanzania sehemu yenye walowezi wa kiarabu ni mafukara wa kutupwa!
Hakuna mafirauni kama Waarab hapa duniani. wanalazimisha watu waishi maisha ya hajabu huku wao wakiiga mifano ya Muddy kama vile kujirusha na kubaka. Niende Dubai kufanya nini wakati raha ziko sehemu zingine duniani zenye uhuru zaidi.
 
Back
Top Bottom