Huyu ndo mwanaume sasa.. huyu ndo anae jua thamani ya mwanamke[emoji23][emoji23][emoji23]
Nina 4 fat naiuzaAniuzie hio PS 4 yake
Imebidi nirudi nyuma kuangalia vizuri maana sikuwa nimeona kama kuna kitanda.Unaweza niambie kazi ya mafuta ulioyaficha chini ya kitanda kaka
Aoe haraka sana.