UNA MTAZAMO UPI JUU YA MTU ANAEVAA MIWANI YA MACHO??

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Mimi ndimi.

Aseee Mimi nikiona mtu, mwanamke au mwanaume kavaa miwani ile ndogo ya mtu mwenye matatizo ya macho halafu ndio awe mwembamba, naona kama ana udhaifu Fulani hivi, yani naona kama hana afya naweza hata nikamkata Kofi akaaga dunia aseee!

Wewe unamtazamo gani??

Wengine eti wakiona mtu kavaa MIWANI ya macho wanamuona kama ana akili sana au msomi.


 
We jamaa utakuwa mu-Arusha kama skosei
 
Ngoja tu nikuambie. Mtazamo wako siyo sahihi. Binafsi ninavaa miwani tokea nipo shule ya msingi. Ila sipo dhaifu. Nipo poa na hauwezi kunipiga kofi.
 
Mtazamo wako unatokana na akili zako finyu
 
Aisee mi niko tofauti kidogo. Nikiona mwanamke kavaa miwani nashawishika nae sana
 
Kumbe... Afazali mimi siko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…