Una operate vipi branch za biashara yako huku zikikupa faida?

Una operate vipi branch za biashara yako huku zikikupa faida?

Beberu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
4,548
Reaction score
9,740
........... (Salamu)

Wakuu kwa wale wafanyabiashara au wale wenye elimu ya biashara , nina biashara yangu moja naifanya, sasa kwa sasa nataka nifungue branch nyingine ya pili mtaa mwingine, (nipo Dar, Ubungo)

Changamoto kwangu naona sina uzoefu wa kusimamia hizi biashara, hii ya kwanza naiweza kwa sababu mimi ndo nipo hapa hapa ofisin naisimamia, kwa hio nikifungua branch inabidi niweke mtu hapa ili mimi niwe mtu wa managerial level + kuzunguka branch hii na hio nyingine, (kwa jinsi nilivyowaza)

Sasa nakuja kwenu wenye uzoefu na elimu za biashara, mbinu gani nzuri ya kumonitor branch za biashara yako,
Kuna watu wana branch had 5 za biashara zao, najiuliza how do they monitor them?

Karibuni wote kwa ushauri
 
Tatizo huweki wazi ni aina gani ya BIASHARA.
Ila kwa DUNIA ya sasa tumia TECHNOLOGY ilusaidie.

Just fanya Automation na system zisomane kutoka BRANCH (A) na BRANCH (B).

Hii itakupa uwezo wa kufanya monitoring ukiwa off-site.
Utaweza kuona vitu in real time.
Utaweza fanya trending and forecasts.
Security wise financially ipo poa.

Then unakuwa hufanyi sana MBWA style (MANAGEMENT BY WORKING AROUND).
 
Tatizo huweki wazi ni aina gani ya BIASHARA.
Ila kwa DUNIA ya sasa tumia TECHNOLOGY ilusaidie.

Just fanya Automation na system zisomane kutoka BRANCH (A) na BRANCH (B).

Hii itakupa uwezo wa kufanya monitoring ukiwa off-site.
Utaweza kuona vitu in real time.
Utaweza fanya trending and forecasts.
Security wise financially ipo poa.

Then unakuwa hufanyi sana MBWA style (MANAGEMENT BY WORKING AROUND).
Thanks
 
Tatizo huweki wazi ni aina gani ya BIASHARA.
Ila kwa DUNIA ya sasa tumia TECHNOLOGY ilusaidie.

Just fanya Automation na system zisomane kutoka BRANCH (A) na BRANCH (B).

Hii itakupa uwezo wa kufanya monitoring ukiwa off-site.
Utaweza kuona vitu in real time.
Utaweza fanya trending and forecasts.
Security wise financially ipo poa.

Then unakuwa hufanyi sana MBWA style (MANAGEMENT BY WORKING AROUND)

Jibu limeshiba..angetoa mfano wa biashara yake ili tumuongezee nondo wengine hatuna biashara ila tunaweza kutoa hata ushauri wa afunge cctv camera.jf hatushindwi
 
Jibu limeshiba..angetoa mfano wa biashara yake ili tumuongezee nondo wengine hatuna biashara ila tunaweza kutoa hata ushauri wa afunge cctv camera.jf hatushindwi
Yeah ata CCTV ni moja ya technique ya kufanya monitoring. Hasa ktk Warehouses au ktk sehem ambazo kuna interactions sana.

Au hata ktk duka tu la kawaida, maana muuzaji anaweza kukwambia leo BIASHARA ilikuwa ngumu wateja hakuna. Kumbe hakuwepo DUKANI au Anafunga duka anaenda ktk mishe zake.

Na ukifunga CCTV kwa matukio yoyote yale haupaswi kumjulisha MUUZAJI kwamba jana nimeona hiki au kile unakaa kimya ili ujionee mengi zaidi na ufanye maamuzi sahihi. (Hawachelewi kuhujumu miundombinu)
 
Bila kusema aina ya biashara, utapewa ushauri usiofaa, usimamizi wa duka la reja reja n tofauti na usimamizi wa microcredit!!!!!

Unataka msaada afu unaficha tatzo!
 
Nasapoti apo Sema aina ya biashara Ili upewe ushauri mzuri hasa kutoka kwa watu ambao wanafanya biashara kama hiyo.
 
Back
Top Bottom