Una tatizo na kujaza fomu za mikopo?HESLIB

Una tatizo na kujaza fomu za mikopo?HESLIB

John W. Mlacha

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2007
Posts
3,504
Reaction score
1,342
Kwa wale wadogo zangu ambao hawajajaza fomu za mikopo either saver inawasumbua au hawawewezi unaweza kupata msaada wa moja kwa moja kutoka kwangu. nakujazia then nakutumia fomu zako kwe e-mail unaenda kuzi print.sio utapeli ni kusaidiana . JF ni kila kitu. so if you wish just PM me then i will send you my e-mail.all the best guys.
 
Back
Top Bottom