ooooooooooooooopsssssssssssssss
jamani hili tangazo mi silipendi sana hasa kipindi hiki ambacho nataka wakwe wakanitambue! jamaa kajitahidi ana vx, nyumba kali, kazi ndefu na demu wake atakuwa mkali vilevile ila tatizo hana tembo card master card!nikiskia huwa nachoka sana hivi mambo ndo yalivo huko ukweni? wazoefu tujuze
jamani hili tangazo mi silipendi sana hasa kipindi hiki ambacho nataka wakwe wakanitambue! jamaa kajitahidi ana vx, nyumba kali, kazi ndefu na demu wake atakuwa mkali vilevile ila tatizo hana tembo card master card!nikiskia huwa nachoka sana hivi mambo ndo yalivo huko ukweni? wazoefu tujuze
Kama linakubabaisha usioe ili kuwakomoa hao wakwe... Be a bachelor forever.
Nasoma katikati ya misitari[/QUO ha ha ha DA umenifuraisha you read in between lines kwani hii ni biomedical coz. Hamna test bwana hii ni thread tu.
Nasoma katikati ya misitari[/QUO ha ha ha DA umenifuraisha you read in between lines kwani hii ni biomedical coz. Hamna test bwana hii ni thread tu.
Sasa Prof si nasoma ili nielewe nisije nikaenda nje ya mada
Girlfriends are medicines they come with an expiry date!