Una Tsh 200M Utanunua Apartment au utaenda kufanya ujenzi wako mwanzo mwisho?

Una Tsh 200M Utanunua Apartment au utaenda kufanya ujenzi wako mwanzo mwisho?

Jayden News

Member
Joined
Aug 28, 2022
Posts
29
Reaction score
94
IMG_3431.jpg
 
Kama iko sehemu nzuri, bora kununua. Maana vifaa vya ujenzi kwa sasa ni changamoto. Bei yake ya kununulia imepanda sana.
 
mkuu kajenge tu.....alafu unakuwa wa kwanza kutumia kile kitu na kwa kuwa una mzigo wa kutosha unaplan kila kitu itasaidia kufanya budget yako isipinde pinde utaenda strait until deal done.
 
anza ujenzi wako mtafute fundi maiko utaokoa karibu 100 nzima.
 
Back
Top Bottom