gilbert35 JF-Expert Member Joined Nov 20, 2021 Posts 253 Reaction score 475 Jan 22, 2022 #1 Wadau habari zenu? Naomba kama kuna mtu anafahamu namna ya kutengeneza hizi mbegu mnazoziona katika picha anifundishe. Hapo kuna Mbegu za Maboga, Mbegu za Ngano isiyokobolewa, na Zabibu kavu. Kiufupi hizi naonaga watu wanauza kwenye pakage nanunua nakula, lakini sijui zinapikwaje
Wadau habari zenu? Naomba kama kuna mtu anafahamu namna ya kutengeneza hizi mbegu mnazoziona katika picha anifundishe. Hapo kuna Mbegu za Maboga, Mbegu za Ngano isiyokobolewa, na Zabibu kavu. Kiufupi hizi naonaga watu wanauza kwenye pakage nanunua nakula, lakini sijui zinapikwaje
gilbert35 JF-Expert Member Joined Nov 20, 2021 Posts 253 Reaction score 475 Jan 22, 2022 Thread starter #2 Hii
Chupayamaji JF-Expert Member Joined Sep 19, 2017 Posts 5,784 Reaction score 13,642 Jan 22, 2022 #3 Uliza hata you tube labda unaeza kupata huku naona watu wamekuwekeya ngumu. Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Uliza hata you tube labda unaeza kupata huku naona watu wamekuwekeya ngumu. Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
gilbert35 JF-Expert Member Joined Nov 20, 2021 Posts 253 Reaction score 475 Jan 29, 2022 Thread starter #4 Chupayamaji said: Uliza hata you tube labda unaeza kupata huku naona watu wamekuwekeya ngumu. Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app Click to expand... Youtube hata sijui vinaitwaje mkuu, nilijaribu kutafuta
Chupayamaji said: Uliza hata you tube labda unaeza kupata huku naona watu wamekuwekeya ngumu. Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app Click to expand... Youtube hata sijui vinaitwaje mkuu, nilijaribu kutafuta
RWANTANG JF-Expert Member Joined Dec 28, 2021 Posts 1,143 Reaction score 1,425 Feb 10, 2022 #5 Hiyo snack inaitwa EASY PUMPKIN GRANOLA au BIRDS FOOD
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Feb 23, 2022 #6 Hope you tube itakusaidia