Kaunara
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 249
- 452
Habari!
Kama unamjali kijana mpe ushauri wako hapa kabla hajaanza kutumika.
Vijana wengi wanapotea kwa kukosa ushauri nasaha. Naomba uzi huu utumike kuwapa ushauri vijana wetu ambao wanaingia ujana.
Vijana wanaanza na moto wa kutaka kujaribu kila kitu katika maisha haya. Hali ambayo ni tata katika dunia ya leo.
Karibuni.
Kama unamjali kijana mpe ushauri wako hapa kabla hajaanza kutumika.
Vijana wengi wanapotea kwa kukosa ushauri nasaha. Naomba uzi huu utumike kuwapa ushauri vijana wetu ambao wanaingia ujana.
Vijana wanaanza na moto wa kutaka kujaribu kila kitu katika maisha haya. Hali ambayo ni tata katika dunia ya leo.
Karibuni.