Una washauri nini wanaofutilia maisha yako?

Una washauri nini wanaofutilia maisha yako?

Nawashauri wasiyafatiliee hv hv wayarecord kbs yawee na movee...mm cna hata habari nao
 
Waongeze spidi maana wanapata faida bila mimi maisha yao yatakuwa magumu na kama unavyojua binadamu tunategemeana
 
Watu masikini hawafuatiliwi, ongeza bidii uwe na wafuatiliaji wengi kama CR 9
 
Wabebe vyakula na maji ya kutosha maana sasa ninaingia jangwani wasije wakafa kwa kiu na njaa wakati wananifuatilia
 
Wanao fatilia maisha yangu, km wesimama, watandike jamvi walale na khanga wajifunike kabisaa, maana watasimama hadi miguu iingie tumboni.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom