Sivan
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 923
- 1,228
Sikumoja nitaanza ufugaji ila nahitaji EXPERIENCE ya ufugaji na mambo yote yanayohusu ufugaji kibiashara usimamaizi, masoko nk.
Kwa aliye na wazo la kuanza ufugaji wa kuku (broiler)tushitikiane tujuhike wote kutoka mwanzo wa mradi mpaka kuonesha matumaini tutahusika wote kuhakikisha mradi unakua na kutafuta masoko pamoja. Yule asiye na muda anataka kuanzisha mradi wa ufugaji nitahusika kwenye usimamizi.
Aim yangu kutumia uwezo wangu kufanikisha mradi kutengeneza faida ila simaanishi nitafanya bure tutakubaliana maana baada ya kupata Experience nitahitaji kwenda kuanzisha mradi wangu.
Kwa aliye na wazo la kuanza ufugaji wa kuku (broiler)tushitikiane tujuhike wote kutoka mwanzo wa mradi mpaka kuonesha matumaini tutahusika wote kuhakikisha mradi unakua na kutafuta masoko pamoja. Yule asiye na muda anataka kuanzisha mradi wa ufugaji nitahusika kwenye usimamizi.
Aim yangu kutumia uwezo wangu kufanikisha mradi kutengeneza faida ila simaanishi nitafanya bure tutakubaliana maana baada ya kupata Experience nitahitaji kwenda kuanzisha mradi wangu.