Una wazo la kufanya ufugaji wa kibiashara

Sivan

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
923
Reaction score
1,228
Sikumoja nitaanza ufugaji ila nahitaji EXPERIENCE ya ufugaji na mambo yote yanayohusu ufugaji kibiashara usimamaizi, masoko nk.

Kwa aliye na wazo la kuanza ufugaji wa kuku (broiler)tushitikiane tujuhike wote kutoka mwanzo wa mradi mpaka kuonesha matumaini tutahusika wote kuhakikisha mradi unakua na kutafuta masoko pamoja. Yule asiye na muda anataka kuanzisha mradi wa ufugaji nitahusika kwenye usimamizi.

Aim yangu kutumia uwezo wangu kufanikisha mradi kutengeneza faida ila simaanishi nitafanya bure tutakubaliana maana baada ya kupata Experience nitahitaji kwenda kuanzisha mradi wangu.
 
Nicheki DM fani yangu ni mifugo mm kama uko dar itakuwa poa
 
Ufugaji kwa upande wa Dar nahisi kama gharama za uendeshaji zitakuwa kubwa.
 
Upatikanaji wa vyakula. Wote tunajua kiwa Dar mashamba hakuna, vingi ni imported. Sasa anza kuchek gharama mfano pumba.
 
Upatikanaji wa vyakula. Wote tunajua kiwa Dar mashamba hakuna, vingi ni imported. Sasa anza kuchek gharama mfano pumba.
Kwanini Dar mbona sijataja mkoa mzee.
 
Ufugaji kwa upande wa Dar nahisi kama gharama za uendeshaji zitakuwa kubwa.
Usiangalie upande mmoja mkuu, aina ya kuku anaotaka kufuga mleta mada ni kuku wa nyama ambao Dar soko lake ni kubwa kuliko mkoa wowote Tanzania.

Pia chakula kinachofanya vizuri kwa kuku hao ni cha kutoka viwandani na viwanda vingi vipo Dar, hivyo aliyemshauri kuhusu Dar yupo sahihi kabisa.
 
Nakuja tuyajenge
 
Sorry sana mkuu
Hapa nimeelewa kwanini unamtetea sana mr kuku sikuona uzi wako huu kumbe naww ulikuwa kwenye njia hiihii ya kuanzisha mradi kama wake

Kabla ya kuanza kuchukua hela kwa watu kachukue kibali BOT kabla haijakukalia koon
 
Sorry sana mkuu
Hapa nimeelewa kwanini unamtetea sana mr kuku sikuona uzi wako huu kumbe naww ulikuwa kwenye njia hiihii ya kuanzisha mradi kama wake

Kabla ya kuanza kuchukua hela kwa watu kachukue kibali BOT kabla haijakukalia koon
Hatuendi hivi Mkuu majadiliano ya mada moja hayapelekwi mada nyengine hii inafanya kutengeeneza uhasama na uadui badala ya urafiki, mada moja tunaweza kuwa upande mmoja mada nyengine tukakosana uwo ndio ukomavu.

Period, sijawai mtete Mrkuku na wala sijawai kuwa upande wowote mimi ni Open mind anaye hoji kulipo na mapungufu kutaka detils yakinifu...kuhoji imekuwa dhambi JF mbona tunatengeneza kizazi cha kondoo.
 
Mkuu nakushauri fuata utaratibu tu
Nenda BOT chukua kibali
Tafta leseni ya biashara n ufugaji
Tafta hao watu mfanye kazi legal

Biashara ni nzuri ila fuata utaratibu tu
 
Mkuu nakushauri fuata utaratibu tu
Nenda BOT chukua kibali
Tafta leseni ya biashara n ufugaji
Tafta hao watu mfanye kazi legal

Biashara ni nzuri ila fuata utaratibu tu
Unamaana endapo nikifuata ulivyo orodhesha nikkfanya kama Mrkuku nitakuwa sio tapeli ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…