Una wazo zuri la Biashara? Na hauna Mtaji? Niambie tushirikiane kufanya biashara

Una wazo zuri la Biashara? Na hauna Mtaji? Niambie tushirikiane kufanya biashara

Kilaza

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
3,324
Reaction score
1,377
Habari zenu wakuu.

Natumai mnaendelea vyema na harakati
za kusukuma gurudumu la maisha.

Wakuu mimi nina pesa lakini sina
idea nzuri ya biashara na kuna watu
wengine humu jamiiforums
wana idea nzuri lakini hawana mtaji.

hivyo ndivyo binadamu tulivyoumbwa wiki
kama tatu zilizopita nilianzisha uzi hapa
wenye kichwa cha habari "ukipata millioni
10 utafanya biashara gani? ???"
lakini mpaka leo sijapata idea nzuri

Mimi ninaandika uzi huu kuwalenga wale
wenye idea za biashara lakini
kinachowakwamisha ni mtaji.

Kama wewe unaamini una wazo zuri la
biashara na huna mtaji,basi mimi nataka
kushirikiana na wewe,mimi nitatoa mtaji
wa kuanzia milioni 2 mpaka million 10
kama nitashawishika na wazo lako.

Ninachotaka ni hivi,nataka faida
itakayopatikana kwa biashara itokanayo
na wazo lako itufaidishe mimi na wewe.

KUMBUKA:Sikopeshi pesa bali nataka
tushirikiane ili sote tupate faida.

Sanasana nataka mawazo mazuri tena
ufikirie "nje ya box" sio hizi biashara
ambazo kila mtu anafikiria

HUNIJUI SIKUJUI na siwezi kukuamini tu
kwa maneno.Ili nikuamini inabidi utafute
mbinu za UHAKIKA za kunifanya
nikuamini.

Vile vile inabidi unishawishi vizuri ili niweze
kuliamini wazo lako la biashara kabla
sijawekeza pesa zangu.

Are you interested?

Please PM me.

Thank you and God bless you all.


............
 
Habari, ungeweka namba ya simu au hata email. Mimi ni muhitaji na sijui hayo mambo ya PM. au nielekeze nfanyeje ili ku pm?
 
hilo jina lako nimeogopa hata kukupm, cc Malila
 
Last edited by a moderator:
hilo jina lako nimeogopa hata kukupm, cc Malila
 
Last edited by a moderator:
Mbona na sasa chini kama kuna longolongo vile????? mmmh!!!! wewe sema tuuziiane wazo au tupeane wazo la biashara sio watu tuje na mawazo ujifanye hujaridhika kumbe ndio unaenda kulitumia.
 
Mbona na sasa chini kama kuna longolongo vile????? mmmh!!!! wewe sema tuuziiane wazo au tupeane wazo la biashara sio watu tuje na mawazo ujifanye hujaridhika kumbe ndio unaenda kulitumia.

Haswaaaa! Umetoa jibu zuri sana.
 
Haswaaaa! Umetoa jibu zuri sana.


Watu bhana, mtu unaacha kuomba wazo la biashara watu wakupe kulingana na sehemu ulipo, maana kuna mtu anawazo ila kutokana na sababu mbalimbali pale alipo wazo lake linakuwa halina umuhimu ivo anabaki amekaa nalo tu, sasa mtu unaacha kuomba kwa kutoa maelezo muhumu badala yake unaanza kuruka ruka kama bisi kikaangoni.
 
hilo jina lako nimeogopa hata kukupm, cc Malila

Kwa sasa mimi nawekeza zaidi kuliko kufanya biashara za moja kwa moja, labda mwakani ndio nitaanza kufanya biashara, kama angetaka mwekezaji mzawa kwa mtaji wake huo ningeweza kuingia.

Asante sana my dear Husninyo kwa kuniita huku.
 
Wekeza kwenye Ardhi ndo mambo yote! Kama uko tayari tuwasiliane ili nikutangulie kwenye uwekezaji huo. Mawazo ya biashara ni mengi ila uchambuzi yakinifu wa biashara gani inalipa ndo changamoto.
 
Back
Top Bottom