Unaambiwa Diamond Platnumz anaogopa kuoa mapema kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake wa kike

Unaambiwa Diamond Platnumz anaogopa kuoa mapema kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake wa kike

Shilandula

Member
Joined
Nov 30, 2019
Posts
6
Reaction score
6
Fahamu: Diamond Platnumz anaogopa kuoa mapema kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake wengi wa kike kwani wapo wanaompigia mahesabu ya kumnasa kimapenzi hivyo akioa mapema haijulikani watakuwa na hali gani! Queen Darleen pia amekiri hilo
 
Watu wengine mawazo yenu huwa ni ya kienyeji sana! Hao mashabiki unaowazungumzia wanaompigia ni kiasi gani na Mondi ana mashabiki wangapi?
 
3
Fahamu: Diamond Platnumz anaogopa kuoa mapema kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake wengi wa kike kwani wapo wanaompigia mahesabu ya kumnasa kimapenzi hivyo akioa mapema haijulikani watakuwa na hali gani! Queen Darleen pia amekiri hilo
Umeandika mwenyewe au umeandikiwa?,so unataka kusema Domo hana wanawake?,Tanasha ni dada yake?,uwe unafikiria hata kidogo basi kabla ya kuja huku,unashusha hadhi ya jf bro
 
Kweli kabisa , mi npo single kias kwamba wateja wangu wengi ni wanawake na wanafeel free Sana kupata huduma kwangu ,jokes nying na vichekesho kwa Sana na wanaenjoy kwel Ila nimegundua wakisikia na mwanamke kimahusiano huwa wanapotea kabisa , issue hii inaniumiza kias cha kuchelewa hata kuoa , somtyme nawaza kubadilisha harakat.....

Nina uhakika mond akioa atalooose fan Weng wa kike ambao ndo most important kwenye mtonyo, moja ya watu wanaofaidika na lifestyle ya Mond ni Rayvann ,

Note: Issue yangu haihusiani na maswala ya uzinzi au uasherati , only female as fanbase
 
Fahamu: Diamond Platnumz anaogopa kuoa mapema kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake wengi wa kike kwani wapo wanaompigia mahesabu ya kumnasa kimapenzi hivyo akioa mapema haijulikani watakuwa na hali gani! Queen Darleen pia amekiri hilo
Hii ni kwa watu maarufu wote. Wengi hupoteza mashabiki wa kike mara tu wanapoamua kuweka wazi mahusiano yao ya kimapenzi.
 
Kweli kabisa , mi npo single kias kwamba wateja wangu wengi ni wanawake na wanafeel free Sana kupata huduma kwangu ,jokes nying na vichekesho kwa Sana na wanaenjoy kwel Ila nimegundua wakisikia na mwanamke kimahusiano huwa wanapotea kabisa , issue hii inaniumiza kias cha kuchelewa hata kuoa , somtyme nawaza kubadilisha harakat.....

Nina uhakika mond akioa atalooose fan Weng wa kike ambao ndo most important kwenye mtonyo, moja ya watu wanaofaidika na lifestyle ya Mond ni Rayvann ,

Note: Issue yangu haihusiani na maswala ya uzinzi au uasherati , only female as fanbase
Reyvanny mbona hajapoteza mashabiki?
 
Fahamu: Diamond Platnumz anaogopa kuoa mapema kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake wengi wa kike kwani wapo wanaompigia mahesabu ya kumnasa kimapenzi hivyo akioa mapema haijulikani watakuwa na hali gani! Queen Darleen pia amekiri hilo
ata kuwa ni mpumbavu kama anaogopa kupoteza mashabiki 10 kina maboto yule wa miaka 21 na ambaluti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom