Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Tena waanze na boccoMambo haya yapo sana. Timu ichunguze wachawi wote wafukuzwe. Hii sio sawa. Ni hasara kwa timu
Shikamoo misumari.Winga mpya wa Simba anaumwa lakini cha kusikitisha haijulikani anaumwa nini. Tuendelee kumuombea Aubrin Kramo
Waanze kufukuzwa wanachama wachawi.Waanze na weweMambo haya yapo sana. Timu ichunguze wachawi wote wafukuzwe. Hii sio sawa. Ni hasara kwa timu
Kihasibu ni hasaraMambo haya yapo sana. Timu ichunguze wachawi wote wafukuzwe. Hii sio sawa. Ni hasara kwa timu
Alibadili dini na kuwa mkristo..hataki hadithi za uongo za bikra 72Kapombe si muislamu ?
Usicheze na Mohamed Hussein a.k.a Zimbwe JuniourWinga mpya wa Simba anaumwa lakini cha kusikitisha haijulikani anaumwa nini. Tuendelee kumuombea Aubrin Kramo
Tuambie hapa wewe unaumwa niniWinga mpya wa Simba anaumwa lakini cha kusikitisha haijulikani anaumwa nini.
kagongwe na Manara hukoTuambie hapa wewe unaumwa nini
[emoji1787][emoji1787]Ukitazama baadhi ya sura za wachezaji wa Simba hili halitakushangaza wala!Mfano Boko na kiungo punda sura zao zinatofauti gani na professor maji marefu..sura zimekaa muda wote kama zinafukizwa na moshi.
Huko kwenu?? Skudu imebidi aende Soweto kuaga vizuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo timu inasifika sana kwa wachezaji wake kupigana misumari.
🥶Winga mpya wa Simba anaumwa lakini cha kusikitisha haijulikani anaumwa nini. Tuendelee kumuombea Aubrin Kramo
[emoji23][emoji23][emoji23]Nmesikia kaumia tena
Shikamoo John BokoWinga mpya wa Simba anaumwa lakini cha kusikitisha haijulikani anaumwa nini. Tuendelee kumuombea Aubrin Kramo