hujatwambia jinsia ya huyo aliyecheat lakini nahisi ni he
mimi ningeunderstand na kushukuru kimoyomoyo kwa ujasiri wake wa kuwa mkweli
nisingenuna coz kununa kutamfanya siku akirudia asiniambie
unapomweleza umecheat ni ili iweje
kwamba naye afanye kama ulivyofanya wewe.
Ulipenda ndio maana ukafanya hakuna cha kuzidiwa
hivi unawezaje kudo na mtu humpendi kabisa
Mie ningeliaaaa angenibembeleza then nikinyamaza tu namwambia sorry honey na mimi nimetembea na rafiki yako fulani, tulizidiwa tu haikumaanisha kitu! hapo sasa ndio utajua kwamba kwake yeye ni halali kwako ni haramu
mhhhhhh! ungevunja uhusiano ,maana kma mwanaume ndio unamwambia hivyo yeye angekasirika tu,hata kma yeye ndio wakwanza kukuambia kuwa katoka outDaahh
labda niseme
Usijali mpenzi
ulichofanya na mi hivyo hivyo....
Ucjali dear, hata mie pia nimefanya hivyo ila nimekuzidi mmoja tena jana tu uliponijuza u njiani ndio tulikuwa tunaagana
duh, ngemwambia asante kwa breaking news yako, na taratiiiiiibu kujiondokea zangu....
Daahh
labda niseme
Usijali mpenzi
ulichofanya na mi hivyo hivyo....
hahahah jamani kuna watu wana vituko,
Na mie ningemjibu hivo hivo kama alivosema yeye nione ata-react vip
Ningemshukuru kusema ukweli, ila kusema kazidiwa na kufanya na watu wawili tofauti hapo mhhhhhhhhh ndo pangenichefua sasa
Mimi kwa mmoja ningefunga moyo nimsamehe japo inaumaaaaaa
Mie ningeliaaaa angenibembeleza then nikinyamaza tu namwambia sorry honey na mimi nimetembea na rafiki yako fulani, tulizidiwa tu haikumaanisha kitu! hapo sasa ndio utajua kwamba kwake yeye ni halali kwako ni haramu
Duh.....! Kumbe ndio hivi? Basi sisemi ng'o.....! Bora nibaki na siri yangu moyoni..!Ucjali dear, hata mie pia nimefanya hivyo ila nimekuzidi mmoja tena jana tu uliponijuza u njiani ndio tulikuwa tunaagana
hujatwambia jinsia ya huyo aliyecheat lakini nahisi ni he
mimi ningeunderstand na kushukuru kimoyomoyo kwa ujasiri wake wa kuwa mkweli
nisingenuna coz kununa kutamfanya siku akirudia asiniambie
Ningemshukuru kusema ukweli, ila kusema kazidiwa na kufanya na watu wawili tofauti hapo mhhhhhhhhh ndo pangenichefua sasa
Mimi kwa mmoja ningefunga moyo nimsamehe japo inaumaaaaaa