Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umefanya research lini bossje mbona wamasai hawana ndevu kwahiyo watakuwa na hao vimerea
saw sawuzi hananihusu! ngoja nisome nione tunanufaikaje
fanya kwa upes sana[emoji23]Kuanzia leo nami naziachia ndevu zangu
ngoja waje wenyew mkuu watudhibitishie hapje mbona wamasai hawana ndevu kwahiyo watakuwa na hao vimerea
[emoji23] salute mkuuNdo maana zangu h azijawai tolewa...ni mwendo wa kupunguza kama fensi ya maua basi
[emoji54]Vipi kuhusu mavuz.i, nayo tufuge?
tuambizane mkuu kuna madhara gn??Tafiti za ulaya hizi
Na mwezi uliopita utafiti mwingine ulikuwa wa toilet paper
Unasema kumbe walikuwa wanakosea miaka yote kuchamba
Wameona maradhi mengi yanatokana na hizo karatasi (Toilet paper)
[emoji23] ngoja waje mkuuKuachia mzuzu raha sana ukimtongoz dem hakatai
Kwa tafiti hizo (sio mimi) zinasema kuwa unapotumia toilet paper ni kuwa unaacha uchafu na hisafishi vizuri tofauti na maji.tuambizane mkuu kuna madhara gn??
mbona mkuu nasikia kwamba maji nayo yana madhara???Kwa tafiti hizo (sio mimi) zinasema kuwa unapotumia toilet paper ni kuwa unaacha uchafu na hisafishi vizuri tofauti na maji.
Kwa hiyo bacteria wabaya huzaliana na kuleta magonjwa kama UTI
Na utafiti umeenda mbali kwa kina wanawake kwani wanapojifuta hupaka kinyesi mpaka mbele na kuleta matatizo mengi kiafya.
![]()