UNAAMBIWA: Wanaume wenye ndevu hunufaika kiafya kuliko wasionazo

Basi iwe hivi chooni kuwe na toilet paper pamoja na maji yaani ukimaliza kujichamba kwakutumia toilet paper kisha suuza kwa maji kusudi usiache uchafu.......
 
Unafikiri Mungu aliweka ndevu kama mvuto , laaah . Naonga mkono utafiti
Kwakweli mkuu mimi nimejaliwa ndevu nyingi sana na nazipenda nina umri wa miaka 19 nna ndevu nyingi sana.
 
Kweli mkuu watu wanashindwa kujua kuwa ndevu ni hekima na busara ambazo mwenye hadhi Mungu anatutaka tuwenayo hiyo hekima sisi wanaume.....
 
Je.na sisi ambao haturuhusiwi kuwa na ndevu kwa mujibu wa sheria si tutaadhirika wote?
 
Mi nna sharubu mahaba znatosha kabsaaa.. Hua sipendi mandevu yakufunika mashavu, chini ya kidevu znatosha kabsaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…