Wengi wa wanadamu wamechanganyikiwa, hawajui wawe na msimamo wa imani juu ya nguvu gani kiroho. Wengi wameishia kuwa vuguvugu, si moto wala si baridi!
Kwa mganga wa kienyeji wanaenda na kinga za maisha yao wanapata huko, si rahisi kumkuta mtu hasa Afrika hana alama hasa chale kwenye mwili wake ambazo huaminiwa kuwa kinga dhidi ya mashambulizi ya kishirikina au kichawi hii huambatana pia na uwekaji wa mizizi au hirizi kwenye miji yao na wakati huo huo huingia makanisani kwenye ibada kumwabudu MUNGU MWENYEZI, huko hujifanya wako safi na wanamtumainia na kumtegemea BWANA YESU KRISTO kuwa mwokozi na kinga ya maisha yao.
Huu ni upuuzi inatakiwa uwe na imani yenye msimamo wa MUNGU mmoja usimchanganye na ushetani wa namna yoyote ile, madhara ya kuchanganya ni kukosa msaada pale shetani anapokuhitaji wewe au mwanao kuzimu(kukuua), kwani mwivi(shetani) haji ila kwa kuiba, kuua na kuharibu hatma yake ni kukufikisha jehanamu.
TUBU LEO, MTEGEMEE MUNGU WA MAJESHI YEYE ATOSHA KWA 100%, usiiabudu mizimu(miungu).
Kwa mganga wa kienyeji wanaenda na kinga za maisha yao wanapata huko, si rahisi kumkuta mtu hasa Afrika hana alama hasa chale kwenye mwili wake ambazo huaminiwa kuwa kinga dhidi ya mashambulizi ya kishirikina au kichawi hii huambatana pia na uwekaji wa mizizi au hirizi kwenye miji yao na wakati huo huo huingia makanisani kwenye ibada kumwabudu MUNGU MWENYEZI, huko hujifanya wako safi na wanamtumainia na kumtegemea BWANA YESU KRISTO kuwa mwokozi na kinga ya maisha yao.
Huu ni upuuzi inatakiwa uwe na imani yenye msimamo wa MUNGU mmoja usimchanganye na ushetani wa namna yoyote ile, madhara ya kuchanganya ni kukosa msaada pale shetani anapokuhitaji wewe au mwanao kuzimu(kukuua), kwani mwivi(shetani) haji ila kwa kuiba, kuua na kuharibu hatma yake ni kukufikisha jehanamu.
TUBU LEO, MTEGEMEE MUNGU WA MAJESHI YEYE ATOSHA KWA 100%, usiiabudu mizimu(miungu).