Wowowo..mguu wa bia..macho ya kurembua..lips full kama kiroba cha mchele..kiuno cha haja..kifua cha kutosha..shingo kama ya mbuni!Ehh nini kingine unataka?lizzy nimekujibu swali lako..
jje wewe vipi?
una wowowo la kutosha?????
kwa maisha yalivyokuwa magumuu kigezo kwa kwanza unaagalia,,
elimu,,elimu ndio key ya maisha,,
yanayo fuata...
Uzuri wake,
culture,desturi mila,,kama inaendana na wewe,,au umependezewa,,
respect,,,
appearence yake kwa muono,,,
maongezii
kucheka,,
smilling,,
guu guu
bata, tena orginal sio wa mchina
maziwa,
mdomo,
sura,kipua,nywele za kuchezea tena zake mwenyewe sio wigii,
asiwe na tumbo,akicheka acheke kwa poz,sio sauti inapaa kama msanii,,,
akivaa awe anapendeza,awe anajua kuvaa,,,
rangi usichaguee,,
lakini kitu muhimu jee mumekutana mazingira gani ? Wengine kama lodi lofa atakuchomoa pochi tu sifa nilizokupa
teh teh teh teh
Baunsa au? maana ule mchezo unataka misuli atiMimi wa kwangu nilimpenda sababu ya RUGBY na yeye anajua:lol::lol: ( Ngoja aone hii comment :fear::fear🙂
Ha aha aha just kiddin Gaga niko hapa Clarendon Road njoo unipokee.Baunsa au? maana ule mchezo unataka misuli ati
Ha aha aha just kiddin Gaga niko hapa Clarendon Road njoo unipokee.
Ha aha aha just kiddin Gaga niko hapa Clarendon Road njoo unipokee.
mwanamke awe ni guu na wowowo full stop......
mengine ni kuongezea...
hapo peusi best,Mh kwa mtazamo huu bado niko kwenye chati lol! mie naangalia urefu, personality, mguu size yake , bashasha zake, mcheshi , uhandsome ni wa mwisho akiwa nao poa,asiwe nao sawa tu
naamaanisha awe na guu guu
wowowo wowowo......
mengine kwa chati.....
hapo peusi best,
FAFANUA