Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Ha ha haa aisee kweli we ulizoea. Mimi mpk leo naogopa maji baridi asbhMie nilisoma Iringa, nilikua naoga kila siku asubuhi na nikitoka hapo sivai sweta. Mwili ulizoea hiyo hali kiasi kwamba nisipooga asubuhi wakati wa break saa nne lazima nikaoge kwanza.
Nikifika nilikua sijishauri ni kujipaka povu mwili wote na kujimwagia Maji, Maji ya moto nikioga naona yanaongeza kuhisi baridi na hayaondoi uchovu.
Ha ha haa aisee kweli we ulizoea. Mimi mpk leo naogopa maji baridi asbh
dah mmenikumbusha mbali sana...mm nilipofika njoss nilijifanya naoga kila siku asubuhi lkn ilipofika mwezi wa 6 kwa mara ya kwanza nilimaliza siku 30 ktk maisha yangu kwa mara ya kwanza bila kuoga..ulikua ni mwendo wa paspot size tuDah! Umenikumbusha pale NJOSS, mwezi wa sita halafu ukiingia darasani, viti vina top ya bati. Ni hatari tupu...
Dah!.. siku 30 mkuu... ni hatareee sana hiyooo!....dah mmenikumbusha mbali sana...mm nilipofika njoss nilijifanya naoga kila siku asubuhi lkn ilipofika mwezi wa 6 kwa mara ya kwanza nilimaliza siku 30 ktk maisha yangu kwa mara ya kwanza bila kuoga..ulikua ni mwendo wa paspot size tu
baridi ya njombe ni jipu
Mimi huwa nahesabu moja, mbili, tatu naingia mzima mzima na kwa vurugu utadhani vita.
hahahaha umetishaMimi huwa nahesabu moja, mbili, tatu naingia mzima mzima na kwa vurugu utadhani vita.
Hahahaha we jamaa bwana unaanzaje mapajani aisee wkt huko ndio kuna ile joto ya sentigredi 36?Unaanza kunawa miguu mpaka mapajani,halafu unanawa mikono mpaka mabegani,halafu unatia maji kichwani then unainuka haraka haraka halafu unachota tena maji unajimwagia fasta mwaaa hapo itakuwa umeshamaliza tatizo.
Baridi inauma zaidi kifuani na mgongoni mkuu.Hahahaha we jamaa bwana unaanzaje mapajani aisee wkt huko ndio kuna ile joto ya sentigredi 36?
Dah enzi hizo niko Tukuyu nasoma sec school kati ya vitu ambavyo vilinipa kazi mpaka sasa ni kuoga maji ya baridi asubuhi ili kuwahi assembly. Hivi wewe ulikua unaoga maji baridi kwa staili gani ile asubuhi na ukungu ama baridi tu huku tukiaminishwa kuna ngiri (ugonjwa na sio warthog).
Style yangu ni kuimba imba kwa sauti kuubwa mpaka nazuga maji ya baridi nayazoea hatimaye naoga. Kuna mwingine alikua anapaka sabuni kwa boxer then ndipo anazoea...duh reminisce
Tiririkaaaaaaaaa,wewe unaanzaje kuoga maji baridi, hasa kama ni eneo la baridi?