Umemnunulia waitress hiyoHii fish atakuwa kanywa nani mbona siilewi hii bill?View attachment 2513101
Weekend iko byee pande hiiπMe nipo live βconference hall na Jack Palladino Lenie tunapanga mipango ya valentine π₯°
Tupo liveπMe nipo live βconference hall na Jack Palladino Lenie tunapanga mipango ya valentine π₯°
Hiyo C laiti ndio Castle-lite??Hii fish atakuwa kanywa nani mbona siilewi hii bill?View attachment 2513101
Bill ndogo sana mkuu!Hii fish atakuwa kanywa nani mbona siilewi hii bill?View attachment 2513101
Bado sana tuliaπ€£π€£
Enjoy π€π½π€π½Etii mkuu
[emoji23][emoji23]Basi tujenge vibanda vitatu kimoja chako ,cha Mose na cha Elia.Na mtungi wa shisha uje msisumbukr nyie changanyeni flavour zote mlizonazo.Sema na hii infinix inaniangusha sana.View attachment 2513111
kwa bill hiyo huwezi kulewa mkuu!Mkuu nahakiki kwanza kama nimelewa baada ya hpo naagiza kitimoto