Unalewaje na bia mbili nawe?Mkuu nahakiki kwanza kama nimelewa baada ya hpo naagiza kitimoto
PigaSijui nimpige picha alivyokibinua 🤔
Yupo humuPiga
Hajaiona hiyoMkuu kuna hanson'choice hapo
Yupo humu sitaki aijue ID yangu.Mpige mkuu
MhYupo humu
ChaiiYupo humu sitaki aijue ID yangu.
🤣🤣 sawaChaii
Unataka nipoteze uhuru
Ndio🤣🤣 sawa
MuoneNdio
Kwahiyo unamix kwenye biaMkuu kuna hanson'choice hapo