ONJO
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 216
- 265
.
Sauti ya kilio na maombolezo ilisikika watu wasikubali kufarijiwa kwa kuwa hayupo tena,amelala.
Siku zikapita,miezi ikapita,na hatimae mwaka ukapita nisielewe maana ya fumbo hili!.Nikijiuliza kwanini ardhi imekubali kumpokea wakati bado tunamwitaji?
Nikiwa katika usingizi,tazama nilikuwa nimekaa katika giza nene!.Mara nikaona nyota iking'ara kupita zile zingine zote na zile nyota zikaanza kuizunguka ile nyota,nikaitazama na ghafla ikatoweka kukawa na giza kuu,huzuni ikatanda ndani ya moyo wangu.
Nikiwa katika kufikili maana ya fumbo hilo,nikaona Nyota mbili;moja ikitokea Mashariki na ile nyingine ikitokea Magharibi; zikijongea(kutembea) kwa kuelekeana na badae ziligongana uso kwa uso na kuwa Nyota moja yenye kutoa nuru kubwa kuliko ile ya kwanza.
Mwanga wa nyota hii ulikuwa mkubwa kuliko ule wa mwanzo, wala mawingu hayakuweza kuuzuia kutoa mwanga wake.
Ndipo nilipomkumbuka yule mteule na hadithi yake,inayohusu kumchukua Binti mrembo aliyekuwa anaishi juu ya mlima;wala hakupatikana mtu wa kumchukua isipokuwa kijana mdogo.
Nikauliza ni nani huyo Bwana uliyemchagua?.Akaniambia utakapomwona Rais Samia S Hassani katoka madarakani,kiti cha Raisi kitachukuliwa na Kassimu majaliwa;na uongozi wake utakuwa mkali sana.
Tena nikaona Malaika toka pande zote za mbingu na watu wote wa Dunia wakimtazama yeye aliyechaguliwa.Nami nikasema sasa Hasira ya Bwana inatulizwa kwa sababu ya kiongozi ambaye moyo wake umempenda upeo.
Nanyi ndugu muonapo ishara hizi zikitokea,Aminini kuwa Mungu humwinua mtu ampendae kwa wakati wake.
Sauti ya kilio na maombolezo ilisikika watu wasikubali kufarijiwa kwa kuwa hayupo tena,amelala.
Siku zikapita,miezi ikapita,na hatimae mwaka ukapita nisielewe maana ya fumbo hili!.Nikijiuliza kwanini ardhi imekubali kumpokea wakati bado tunamwitaji?
Nikiwa katika usingizi,tazama nilikuwa nimekaa katika giza nene!.Mara nikaona nyota iking'ara kupita zile zingine zote na zile nyota zikaanza kuizunguka ile nyota,nikaitazama na ghafla ikatoweka kukawa na giza kuu,huzuni ikatanda ndani ya moyo wangu.
Nikiwa katika kufikili maana ya fumbo hilo,nikaona Nyota mbili;moja ikitokea Mashariki na ile nyingine ikitokea Magharibi; zikijongea(kutembea) kwa kuelekeana na badae ziligongana uso kwa uso na kuwa Nyota moja yenye kutoa nuru kubwa kuliko ile ya kwanza.
Mwanga wa nyota hii ulikuwa mkubwa kuliko ule wa mwanzo, wala mawingu hayakuweza kuuzuia kutoa mwanga wake.
Ndipo nilipomkumbuka yule mteule na hadithi yake,inayohusu kumchukua Binti mrembo aliyekuwa anaishi juu ya mlima;wala hakupatikana mtu wa kumchukua isipokuwa kijana mdogo.
Nikauliza ni nani huyo Bwana uliyemchagua?.Akaniambia utakapomwona Rais Samia S Hassani katoka madarakani,kiti cha Raisi kitachukuliwa na Kassimu majaliwa;na uongozi wake utakuwa mkali sana.
Tena nikaona Malaika toka pande zote za mbingu na watu wote wa Dunia wakimtazama yeye aliyechaguliwa.Nami nikasema sasa Hasira ya Bwana inatulizwa kwa sababu ya kiongozi ambaye moyo wake umempenda upeo.
Nanyi ndugu muonapo ishara hizi zikitokea,Aminini kuwa Mungu humwinua mtu ampendae kwa wakati wake.