Unabii wa Jenerali Ulimwengu umetimia mapema mno

Unabii wa Jenerali Ulimwengu umetimia mapema mno

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Katika moja ya mikutano ya wanaharakati na wasomi (nimepoteza clip) lakini Ulimwengu alisema maneno haya:

"Kwa miaka mitano nchi hii imepitia kipindi kigumu mno maana alikuwepo mtu pale kwenye executive ambaye aliweza kusaga saga kila kilichokuwa mbele yake na kuweka ya kwake anayotaka yeye.

"Sasa ameondoka. Lakini msidhani hawezi kutokea mwingine, tena mbaya kuliko mtangulizi wake maana huyu atakuwa amejifunza kwamba hata akifanya mabaya hayo si huko nyuma mlishaufyata?

"Na hamtochelewa kusikia kelele za 'aongezewe muda, nani kama yeye' kama ilivyokuwa Kwa Bwana yulee". Mwisho wa nukuu.

Ni kweli, tumeanza kuona na kusikia mama anaupiga mwingi.
 
Katika moja ya mikutano ya wanaharakati na wasomi (nimepoteza clip) lakini Ulimwengu alisema maneno haya:

"Kwa miaka mitano nchi hii imepitia kipindi kigumu mno maana alikuwepo mtu pale kwenye executive ambaye aliweza kusaga saga kila kilichokuwa mbele yake na kuweka ya kwake anayotaka yeye.

"Sasa ameondoka. Lakini msidhani hawezi kutokea mwingine, tena mbaya kuliko mtangulizi wake maana huyu atakuwa amejifunza kwamba hata akifanya mabaya hayo si huko nyuma mlishaufyata?

"Na hamtochelewa kusikia kelele za 'aongezewe muda, nani kama yeye' kama ilivyokuwa Kwa Bwana yulee". Mwisho wa nukuu.

Ni kweli, tumeanza kuona na kusikia mama anaupiga mwingi.
Mbona bado!!..hamjasema,mtasema tu
 
Katika moja ya mikutano ya wanaharakati na wasomi (nimepoteza clip) lakini Ulimwengu alisema maneno haya:

"Kwa miaka mitano nchi hii imepitia kipindi kigumu mno maana alikuwepo mtu pale kwenye executive ambaye aliweza kusaga saga kila kilichokuwa mbele yake na kuweka ya kwake anayotaka yeye.

"Sasa ameondoka. Lakini msidhani hawezi kutokea mwingine, tena mbaya kuliko mtangulizi wake maana huyu atakuwa amejifunza kwamba hata akifanya mabaya hayo si huko nyuma mlishaufyata?

"Na hamtochelewa kusikia kelele za 'aongezewe muda, nani kama yeye' kama ilivyokuwa Kwa Bwana yulee". Mwisho wa nukuu.

Ni kweli, tumeanza kuona na kusikia mama anaupiga mwingi.
Lakini ni huyu huyu jenerali amekuwa akimsifu Mama. Soma makala zake za East African
 
Taifa gani linaweza kuruhusu mtu afanye anavyotaka kinyume na sheria au utaratibu wa nchi. Leo hii jitokeze utangaze kumuondoa Mh.Mbowe kwakua amekaa kwenye kiti cha uwenyekiti miaka yote hii.
 
Back
Top Bottom