Makamo wa Rais kwa akili timamu ameamua ku step down nakuwaacha vijana waongoze... ila nyuma ya pazia wapambe hawakufurahi ila hawakufurahi kwa sababu Mh Mpango ameona mbali kuliko wenzake wameona na kiukweli hakuna atakaye kwambia uwone nijukumu lako uwone.
Alama zinaonyesha uwenda utabiri na maneno yake tukaanza kuyaona kuanzia 2026 na uwenda tukawa tuki sikiliza sana maneno yake watu wenye kuona kesho.
Alama zinaonyesha uwenda utabiri na maneno yake tukaanza kuyaona kuanzia 2026 na uwenda tukawa tuki sikiliza sana maneno yake watu wenye kuona kesho.