Unabii wa uongo na CCM ndio kimbilio pekee Kwa watanzania!

Unabii wa uongo na CCM ndio kimbilio pekee Kwa watanzania!

roadmaster

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2023
Posts
1,609
Reaction score
2,751
Watu wamekata tamaa,hakuna Tena kuhoji na kuibana serikali katika masuala ya msingi Tena!

Vijana wamemaliza vyuo tangu 2015, hakuna ajira !! Hata zile za walimu hasa wa Sanaa,vijana hatuhoji Tena Hilo!? Madaktari wamejaa mitaani ila hospital hawapo wa kutoshaa hatuhoji Hilo Tena!!

Tumekimbilia kwenye miujiza ya manabii,tunaamini IPO siku gafla tutakuwa matajiri!!
Vijana katika siasa ndio usiseme!! Tumeacha kuihoji serikali katika masuala ya msingi,hakuna kuuliza ajira vipi!? Mbona kitambo hatuajiriwi!?

Hata tuliosomea udaktari,ualimu tupo mitaani makumi Kwa maelfu!? Achilia mbali manesi na kada nyingine! Tumekoma kuhoji Sasa ni mwendo wa kusifia chama Ili tupate teuzi za ukuu wa wilaya na ukuu wa mkoa!! Achilia mbali U Das!?

Kila Mahali ni kuisifu serikali tuuu!?
Tasnia ya habari ndio usiseme, hawa wamepewa uhuru, sio lazima usome!! Kama unaweza kuchamba mtu basi wewe ni mtangazaji mzuri Sana, tafuta kituo Cha FM " Fanya Mzaha" omba kazi, sifia Sana Sana serikali utaula utaupata UDas au udc!?

Njooo Kwa wasanii!! Hawa wao watatumika katika kampeni hivyo wao ni kusifia tuu!! Mpaka Korea wanaenda siku hizi!! Sasa wamejiongeza wanataka bima za afya!! ,Kumbe mbwembwe zote za kutembea na magari ya kifahari na kukodi mnyumba za mamilion hawana bima za afya hata za 159,000?!/? Kweli inatisha ,ila wa ni kusifia tuuu!?

Walimu nao hawapo nyuma kabisa kabisa,wao wanaenda mbali zaidi!! Wanamchangia mpaka raisi achukue form!!
Njooo Kwa waumini,hawa wamekata tamaa kabisa kabisa,Sasa nimwendo wa kuamini katika miujiza!wamejaa katika viwanja kuombewa wapate utajiri! Ajabu kabisa hata Jerusalem Kwa akina yesu hili halipo!!.

Wanashughudia kupona ukimwi!! Wanashughudia kupata magari baada ya kuombewa!! Fikiria Nabii yeye akitaka gari anachangiwa ila muumini yeye ataombewa!! Hakika tukekata tamaa!!
Wamegeuzwa wateja wa manabii wanauziwa maji,chumvi ,vitambaa wanaambiwa vinaupako!!

CCM na manabii ndio kimbilio letu!!
Hongereni wakenya,nyie mmesoma na kuelimika!! Sisi huku Professor wa chuo kikuu anaita chuo kikuu jalala baada ya mwanasiasa kumpa nafasi!!

Nyie mmefika hatua mna iwajibisha serikali vilivyo!! Ujinga hamtaki.
 
Watu wamekata tamaa,hakuna Tena kuhoji na kuibana serikali katika masuala ya msingi Tena!

Vijana wamemaliza vyuo tangu 2015, hakuna ajira !! Hata zile za walimu hasa wa Sanaa,vijana hatuhoji Tena Hilo!? Madaktari wamejaa mitaani ila hospital hawapo wa kutoshaa hatuhoji Hilo Tena!!

Tumekimbilia kwenye miujiza ya manabii,tunaamini IPO siku gafla tutakuwa matajiri!!
Vijana katika siasa ndio usiseme!! Tumeacha kuihoji serikali katika masuala ya msingi,hakuna kuuliza ajira vipi!? Mbona kitambo hatuajiriwi!?

Hata tuliosomea udaktari,ualimu tupo mitaani makumi Kwa maelfu!? Achilia mbali manesi na kada nyingine! Tumekoma kuhoji Sasa ni mwendo wa kusifia chama Ili tupate teuzi za ukuu wa wilaya na ukuu wa mkoa!! Achilia mbali U Das!?

Kila Mahali ni kuisifu serikali tuuu!?
Tasnia ya habari ndio usiseme, hawa wamepewa uhuru, sio lazima usome!! Kama unaweza kuchamba mtu basi wewe ni mtangazaji mzuri Sana, tafuta kituo Cha FM " Fanya Mzaha" omba kazi, sifia Sana Sana serikali utaula utaupata UDas au udc!?

Njooo Kwa wasanii!! Hawa wao watatumika katika kampeni hivyo wao ni kusifia tuu!! Mpaka Korea wanaenda siku hizi!! Sasa wamejiongeza wanataka bima za afya!! ,Kumbe mbwembwe zote za kutembea na magari ya kifahari na kukodi mnyumba za mamilion hawana bima za afya hata za 159,000?!/? Kweli inatisha ,ila wa ni kusifia tuuu!?

Walimu nao hawapo nyuma kabisa kabisa,wao wanaenda mbali zaidi!! Wanamchangia mpaka raisi achukue form!!
Njooo Kwa waumini,hawa wamekata tamaa kabisa kabisa,Sasa nimwendo wa kuamini katika miujiza!wamejaa katika viwanja kuombewa wapate utajiri! Ajabu kabisa hata Jerusalem Kwa akina yesu hili halipo!!.

Wanashughudia kupona ukimwi!! Wanashughudia kupata magari baada ya kuombewa!! Fikiria Nabii yeye akitaka gari anachangiwa ila muumini yeye ataombewa!! Hakika tukekata tamaa!!
Wamegeuzwa wateja wa manabii wanauziwa maji,chumvi ,vitambaa wanaambiwa vinaupako!!

CCM na manabii ndio kimbilio letu!!
Hongereni wakenya,nyie mmesoma na kuelimika!! Sisi huku Professor wa chuo kikuu anaita chuo kikuu jalala baada ya mwanasiasa kumpa nafasi!!

Nyie mmefika hatua mna iwajibisha serikali vilivyo!! Ujinga hamtaki.
Wewe mchango wako ni upi katika kurekebisha hayo unayolalamikia? Au na wewe umebaki kupongeza Gen. Z ya Kenya huku ukiwa umekunja mkia Tanzania? Ahahahahaha!!!
 
Wengi ya hao "Watumishi", wamekutana na BAHATI.

By definition Bahati ni pale FURSA(watanganyika waliokata tamaa) kukutana na Jitihada za "Mtumishi"( MANENO yenye nakshi ya maandiko ya biblia ndani yake+ miujiza fake)
 
Watu wamekata tamaa,hakuna Tena kuhoji na kuibana serikali katika masuala ya msingi Tena!

Vijana wamemaliza vyuo tangu 2015, hakuna ajira !! Hata zile za walimu hasa wa Sanaa,vijana hatuhoji Tena Hilo!? Madaktari wamejaa mitaani ila hospital hawapo wa kutoshaa hatuhoji Hilo Tena!!

Tumekimbilia kwenye miujiza ya manabii,tunaamini IPO siku gafla tutakuwa matajiri!!
Vijana katika siasa ndio usiseme!! Tumeacha kuihoji serikali katika masuala ya msingi,hakuna kuuliza ajira vipi!? Mbona kitambo hatuajiriwi!?

Hata tuliosomea udaktari,ualimu tupo mitaani makumi Kwa maelfu!? Achilia mbali manesi na kada nyingine! Tumekoma kuhoji Sasa ni mwendo wa kusifia chama Ili tupate teuzi za ukuu wa wilaya na ukuu wa mkoa!! Achilia mbali U Das!?

Kila Mahali ni kuisifu serikali tuuu!?
Tasnia ya habari ndio usiseme, hawa wamepewa uhuru, sio lazima usome!! Kama unaweza kuchamba mtu basi wewe ni mtangazaji mzuri Sana, tafuta kituo Cha FM " Fanya Mzaha" omba kazi, sifia Sana Sana serikali utaula utaupata UDas au udc!?

Njooo Kwa wasanii!! Hawa wao watatumika katika kampeni hivyo wao ni kusifia tuu!! Mpaka Korea wanaenda siku hizi!! Sasa wamejiongeza wanataka bima za afya!! ,Kumbe mbwembwe zote za kutembea na magari ya kifahari na kukodi mnyumba za mamilion hawana bima za afya hata za 159,000?!/? Kweli inatisha ,ila wa ni kusifia tuuu!?

Walimu nao hawapo nyuma kabisa kabisa,wao wanaenda mbali zaidi!! Wanamchangia mpaka raisi achukue form!!
Njooo Kwa waumini,hawa wamekata tamaa kabisa kabisa,Sasa nimwendo wa kuamini katika miujiza!wamejaa katika viwanja kuombewa wapate utajiri! Ajabu kabisa hata Jerusalem Kwa akina yesu hili halipo!!.

Wanashughudia kupona ukimwi!! Wanashughudia kupata magari baada ya kuombewa!! Fikiria Nabii yeye akitaka gari anachangiwa ila muumini yeye ataombewa!! Hakika tukekata tamaa!!
Wamegeuzwa wateja wa manabii wanauziwa maji,chumvi ,vitambaa wanaambiwa vinaupako!!

CCM na manabii ndio kimbilio letu!!
Hongereni wakenya,nyie mmesoma na kuelimika!! Sisi huku Professor wa chuo kikuu anaita chuo kikuu jalala baada ya mwanasiasa kumpa nafasi!!

Nyie mmefika hatua mna iwajibisha serikali vilivyo!! Ujinga hamtaki.
nahisi wanakupekecha huku ukiwa unafikiria kuandika
 
Vijana wamemaliza vyuo tangu 2015, hakuna ajira !
Hawa vijana walienda vyuoni kudanga na kubeti badala ya kujielimisha. Wanashindwa vipi kujiajiri kwa miaka yote hiyo, kwenye nchi yenye ardhi kubwa iliyojaa rutuba tele? Wanapaswa kutumia nguvu na elimu yao kulima na kujipatia kipato.

Ktk mikoa ya Tabora, Katavi, Tanga na Shinyanga ardhi inagawiwa bure mpk leo. Hawa vijana siyo wasomi, bali ni wahuni waliopita vyuoni.
 
Hawa vijana walienda vyuoni kudanga na kubeti badala ya kujielimisha. Wanashindwa vipi kujiajiri kwa miaka yote hiyo, kwenye nchi yenye ardhi kubwa iliyojaa rutuba tele? Wanapaswa kutumia nguvu na elimu yao kulima na kujipatia kipato.

Ktk mikoa ya Tabora, Katavi, Tanga na Shinyanga ardhi inagawiwa bure mpk leo. Hawa vijana siyo wasomi, bali ni wahuni waliopita vyuoni.
Wewe shamba lako lina hekari ngapi?
 
Watu wamekata tamaa,hakuna Tena kuhoji na kuibana serikali katika masuala ya msingi Tena!

Vijana wamemaliza vyuo tangu 2015, hakuna ajira !! Hata zile za walimu hasa wa Sanaa,vijana hatuhoji Tena Hilo!? Madaktari wamejaa mitaani ila hospital hawapo wa kutoshaa hatuhoji Hilo Tena!!

Tumekimbilia kwenye miujiza ya manabii,tunaamini IPO siku gafla tutakuwa matajiri!!
Vijana katika siasa ndio usiseme!! Tumeacha kuihoji serikali katika masuala ya msingi,hakuna kuuliza ajira vipi!? Mbona kitambo hatuajiriwi!?

Hata tuliosomea udaktari,ualimu tupo mitaani makumi Kwa maelfu!? Achilia mbali manesi na kada nyingine! Tumekoma kuhoji Sasa ni mwendo wa kusifia chama Ili tupate teuzi za ukuu wa wilaya na ukuu wa mkoa!! Achilia mbali U Das!?

Kila Mahali ni kuisifu serikali tuuu!?
Tasnia ya habari ndio usiseme, hawa wamepewa uhuru, sio lazima usome!! Kama unaweza kuchamba mtu basi wewe ni mtangazaji mzuri Sana, tafuta kituo Cha FM " Fanya Mzaha" omba kazi, sifia Sana Sana serikali utaula utaupata UDas au udc!?

Njooo Kwa wasanii!! Hawa wao watatumika katika kampeni hivyo wao ni kusifia tuu!! Mpaka Korea wanaenda siku hizi!! Sasa wamejiongeza wanataka bima za afya!! ,Kumbe mbwembwe zote za kutembea na magari ya kifahari na kukodi mnyumba za mamilion hawana bima za afya hata za 159,000?!/? Kweli inatisha ,ila wa ni kusifia tuuu!?

Walimu nao hawapo nyuma kabisa kabisa,wao wanaenda mbali zaidi!! Wanamchangia mpaka raisi achukue form!!
Njooo Kwa waumini,hawa wamekata tamaa kabisa kabisa,Sasa nimwendo wa kuamini katika miujiza!wamejaa katika viwanja kuombewa wapate utajiri! Ajabu kabisa hata Jerusalem Kwa akina yesu hili halipo!!.

Wanashughudia kupona ukimwi!! Wanashughudia kupata magari baada ya kuombewa!! Fikiria Nabii yeye akitaka gari anachangiwa ila muumini yeye ataombewa!! Hakika tukekata tamaa!!
Wamegeuzwa wateja wa manabii wanauziwa maji,chumvi ,vitambaa wanaambiwa vinaupako!!

CCM na manabii ndio kimbilio letu!!
Hongereni wakenya,nyie mmesoma na kuelimika!! Sisi huku Professor wa chuo kikuu anaita chuo kikuu jalala baada ya mwanasiasa kumpa nafasi!!

Nyie mmefika hatua mna iwajibisha serikali vilivyo!! Ujinga hamtaki.
Cha ajabu manabii wote matapeli wameungana na ccm😅😅😅
 
Watu wamekata tamaa,hakuna Tena kuhoji na kuibana serikali katika masuala ya msingi Tena!

Vijana wamemaliza vyuo tangu 2015, hakuna ajira !! Hata zile za walimu hasa wa Sanaa,vijana hatuhoji Tena Hilo!? Madaktari wamejaa mitaani ila hospital hawapo wa kutoshaa hatuhoji Hilo Tena!!

Tumekimbilia kwenye miujiza ya manabii,tunaamini IPO siku gafla tutakuwa matajiri!!
Vijana katika siasa ndio usiseme!! Tumeacha kuihoji serikali katika masuala ya msingi,hakuna kuuliza ajira vipi!? Mbona kitambo hatuajiriwi!?

Hata tuliosomea udaktari,ualimu tupo mitaani makumi Kwa maelfu!? Achilia mbali manesi na kada nyingine! Tumekoma kuhoji Sasa ni mwendo wa kusifia chama Ili tupate teuzi za ukuu wa wilaya na ukuu wa mkoa!! Achilia mbali U Das!?

Kila Mahali ni kuisifu serikali tuuu!?
Tasnia ya habari ndio usiseme, hawa wamepewa uhuru, sio lazima usome!! Kama unaweza kuchamba mtu basi wewe ni mtangazaji mzuri Sana, tafuta kituo Cha FM " Fanya Mzaha" omba kazi, sifia Sana Sana serikali utaula utaupata UDas au udc!?

Njooo Kwa wasanii!! Hawa wao watatumika katika kampeni hivyo wao ni kusifia tuu!! Mpaka Korea wanaenda siku hizi!! Sasa wamejiongeza wanataka bima za afya!! ,Kumbe mbwembwe zote za kutembea na magari ya kifahari na kukodi mnyumba za mamilion hawana bima za afya hata za 159,000?!/? Kweli inatisha ,ila wa ni kusifia tuuu!?

Walimu nao hawapo nyuma kabisa kabisa,wao wanaenda mbali zaidi!! Wanamchangia mpaka raisi achukue form!!
Njooo Kwa waumini,hawa wamekata tamaa kabisa kabisa,Sasa nimwendo wa kuamini katika miujiza!wamejaa katika viwanja kuombewa wapate utajiri! Ajabu kabisa hata Jerusalem Kwa akina yesu hili halipo!!.

Wanashughudia kupona ukimwi!! Wanashughudia kupata magari baada ya kuombewa!! Fikiria Nabii yeye akitaka gari anachangiwa ila muumini yeye ataombewa!! Hakika tukekata tamaa!!
Wamegeuzwa wateja wa manabii wanauziwa maji,chumvi ,vitambaa wanaambiwa vinaupako!!

CCM na manabii ndio kimbilio letu!!
Hongereni wakenya,nyie mmesoma na kuelimika!! Sisi huku Professor wa chuo kikuu anaita chuo kikuu jalala baada ya mwanasiasa kumpa nafasi!!

Nyie mmefika hatua mna iwajibisha serikali vilivyo!! Ujinga hamtaki.
Hv ZANZIBAR na TANGANYIKA kuna waliosomea fani na kuzifanyia kazi? Maana kule Morogoro 95% ya Maprofessor wa SUA, MZUMBE, JORDAN, ST JOSEPH Wana madili tofauti na wanayofundisha. Kwa mfano wataalamu wa Kilimo wa SUA nilitegemea wangetapakaa maneno mbalimbali ya mkoa wa Morogoro au Mikoa wanakotoka wangefanya Kilimo au ufugaji wa kisasa kungekuwa na ufanisi katika hilo. Lakini ukiuliza hii Bar ya nan unaambiwa ya Professor fulani. Siyo shamba la nani au zizi la nani au mtambo huu alibuni nani ukaambiwa wa professor no! Zaidi ya hapo wanatafuta Ubunge na akishakuwa Mbunge hawi waziri wa fani yake. This is TANGANYIKA kubebana style.
 
Hv ZANZIBAR na TANGANYIKA kuna waliosomea fani na kuzifanyia kazi? Maana kule Morogoro 95% ya Maprofessor wa SUA, MZUMBE, JORDAN, ST JOSEPH Wana madili tofauti na wanayofundisha. Kwa mfano wataalamu wa Kilimo wa SUA nilitegemea wangetapakaa maneno mbalimbali ya mkoa wa Morogoro au Mikoa wanakotoka wangefanya Kilimo au ufugaji wa kisasa kungekuwa na ufanisi katika hilo. Lakini ukiuliza hii Bar ya nan unaambiwa ya Professor fulani. Siyo shamba la nani au zizi la nani au mtambo huu alibuni nani ukaambiwa wa professor no! Zaidi ya hapo wanatafuta Ubunge na akishakuwa Mbunge hawi waziri wa fani yake. This is TANGANYIKA kubebana style.
Sorry maeneo.
 
Watu wamekata tamaa,hakuna Tena kuhoji na kuibana serikali katika masuala ya msingi Tena!

Vijana wamemaliza vyuo tangu 2015, hakuna ajira !! Hata zile za walimu hasa wa Sanaa,vijana hatuhoji Tena Hilo!? Madaktari wamejaa mitaani ila hospital hawapo wa kutoshaa hatuhoji Hilo Tena!!

Tumekimbilia kwenye miujiza ya manabii,tunaamini IPO siku gafla tutakuwa matajiri!!
Vijana katika siasa ndio usiseme!! Tumeacha kuihoji serikali katika masuala ya msingi,hakuna kuuliza ajira vipi!? Mbona kitambo hatuajiriwi!?

Hata tuliosomea udaktari,ualimu tupo mitaani makumi Kwa maelfu!? Achilia mbali manesi na kada nyingine! Tumekoma kuhoji Sasa ni mwendo wa kusifia chama Ili tupate teuzi za ukuu wa wilaya na ukuu wa mkoa!! Achilia mbali U Das!?

Kila Mahali ni kuisifu serikali tuuu!?
Tasnia ya habari ndio usiseme, hawa wamepewa uhuru, sio lazima usome!! Kama unaweza kuchamba mtu basi wewe ni mtangazaji mzuri Sana, tafuta kituo Cha FM " Fanya Mzaha" omba kazi, sifia Sana Sana serikali utaula utaupata UDas au udc!?

Njooo Kwa wasanii!! Hawa wao watatumika katika kampeni hivyo wao ni kusifia tuu!! Mpaka Korea wanaenda siku hizi!! Sasa wamejiongeza wanataka bima za afya!! ,Kumbe mbwembwe zote za kutembea na magari ya kifahari na kukodi mnyumba za mamilion hawana bima za afya hata za 159,000?!/? Kweli inatisha ,ila wa ni kusifia tuuu!?

Walimu nao hawapo nyuma kabisa kabisa,wao wanaenda mbali zaidi!! Wanamchangia mpaka raisi achukue form!!
Njooo Kwa waumini,hawa wamekata tamaa kabisa kabisa,Sasa nimwendo wa kuamini katika miujiza!wamejaa katika viwanja kuombewa wapate utajiri! Ajabu kabisa hata Jerusalem Kwa akina yesu hili halipo!!.

Wanashughudia kupona ukimwi!! Wanashughudia kupata magari baada ya kuombewa!! Fikiria Nabii yeye akitaka gari anachangiwa ila muumini yeye ataombewa!! Hakika tukekata tamaa!!
Wamegeuzwa wateja wa manabii wanauziwa maji,chumvi ,vitambaa wanaambiwa vinaupako!!

CCM na manabii ndio kimbilio letu!!
Hongereni wakenya,nyie mmesoma na kuelimika!! Sisi huku Professor wa chuo kikuu anaita chuo kikuu jalala baada ya mwanasiasa kumpa nafasi!!

Nyie mmefika hatua mna iwajibisha serikali vilivyo!! Ujinga hamtaki.
Wanaokula nchi ni akina Abdul na wenziwe vijana kaeni huko kushabikia simba na yanga au aseno na man u
Mambo ya kiitafuna nchi waachie watawala na familia zao
 
Watu ni mtaji wa uhakika kwa wanasiasa,ushabiki wa mpira,Dini,betting na hata ushawishi kwa wafanyabiashara wakubwa.
Kila iitwapo leo ndivyo watu wanavyozidi kuchanganywa na teklonojia ya ulimwengu wa leo.
Hakika tutajuta...
 
Wewe mchango wako ni upi katika kurekebisha hayo unayolalamikia? Au na wewe umebaki kupongeza Gen. Z ya Kenya huku ukiwa umekunja mkia Tanzania? Ahahahahaha!!!
Hapa Tanzania hakuna sifa kubwa kama uoga a.k.a amani.
 
Back
Top Bottom