Sabry001 JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,064 Reaction score 354 Nov 5, 2011 #1 Kuwa upweke unaweza ua? So lonely ths wkend
DASA JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 1,031 Reaction score 302 Nov 5, 2011 #2 Si uchukue Lager zako mbili! Loh!
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,009 Reaction score 60,629 Nov 5, 2011 #3 Ndio nabisha kwamba upweke unaweza kuua ila sibishi kwamba unaweza ukakuu wewe. Huna marafiki wakupe kampani??Huna hobbies zikuweke busy??Huna usingizi ulale???
Ndio nabisha kwamba upweke unaweza kuua ila sibishi kwamba unaweza ukakuu wewe. Huna marafiki wakupe kampani??Huna hobbies zikuweke busy??Huna usingizi ulale???
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,717 Reaction score 13,176 Nov 5, 2011 #4 uko mbali na sehemu ya kukuweka bize au umeme hakuna hapo ulipo? Nalog off
Mpatanishi JF-Expert Member Joined Jul 1, 2011 Posts 1,811 Reaction score 623 Nov 5, 2011 #5 Washawasha said: uko mbali na sehemu ya kukuweka bize au umeme hakuna hapo ulipo? Nalog off Click to expand... haaah haaah mkuu wewe tangu jana una log off ila nakuona tu hapa
Washawasha said: uko mbali na sehemu ya kukuweka bize au umeme hakuna hapo ulipo? Nalog off Click to expand... haaah haaah mkuu wewe tangu jana una log off ila nakuona tu hapa
Sabry001 JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,064 Reaction score 354 Nov 5, 2011 Thread starter #6 Lizzy said: Ndio nabisha kwamba upweke unaweza kuua ila sibishi kwamba unaweza ukakuu wewe. Huna marafiki wakupe kampani??Huna hobbies zikuweke busy??Huna usingizi ulale??? Click to expand... kweli jana vyote hvyo kwa ucku wa jana sikuwa navyo! Kidogo nikufe yani
Lizzy said: Ndio nabisha kwamba upweke unaweza kuua ila sibishi kwamba unaweza ukakuu wewe. Huna marafiki wakupe kampani??Huna hobbies zikuweke busy??Huna usingizi ulale??? Click to expand... kweli jana vyote hvyo kwa ucku wa jana sikuwa navyo! Kidogo nikufe yani
Sabry001 JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,064 Reaction score 354 Nov 5, 2011 Thread starter #7 Washawasha said: uko mbali na sehemu ya kukuweka bize au umeme hakuna hapo ulipo? Nalog off Click to expand... umeme mpaka sa hv haujarudi jameni
Washawasha said: uko mbali na sehemu ya kukuweka bize au umeme hakuna hapo ulipo? Nalog off Click to expand... umeme mpaka sa hv haujarudi jameni
Sabry001 JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,064 Reaction score 354 Nov 5, 2011 Thread starter #8 DASA said: Si uchukue Lager zako mbili! Loh! Click to expand... I dont take alcohol jamani.
daughter JF-Expert Member Joined Jun 22, 2009 Posts 1,275 Reaction score 748 Nov 5, 2011 #9 ungenibip tusaidiane nadhani mi nilikuwa mpweke zaidi ila ile thread ya maswali na majibu ilinisaidia
ungenibip tusaidiane nadhani mi nilikuwa mpweke zaidi ila ile thread ya maswali na majibu ilinisaidia
Mungi JF Gold Member Joined Sep 23, 2010 Posts 16,973 Reaction score 9,572 Nov 5, 2011 #10 Mpatanishi said: haaah haaah mkuu wewe tangu jana una log off ila nakuona tu hapa Click to expand... kila thread yake ana log off. Washawasha akisahau ku log off Mkumbusheni jamani!
Mpatanishi said: haaah haaah mkuu wewe tangu jana una log off ila nakuona tu hapa Click to expand... kila thread yake ana log off. Washawasha akisahau ku log off Mkumbusheni jamani!