de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 2,044
- 4,558
Growing up tumekuwa kwenye situations mbalimbali, ambazo hatukuzipenda. Labda ugumu wa maisha ya nyumbani, tabia za ndugu jamaa na marafiki, mifumo ya maisha, uraibu, nk.
Wengi wetu tulijiapia kuwa hatutojikuta kwenye hizo situation na kuna ule msemo, "labda nirogwe". Ila sooner enough tumekuwa lakini hakuna jipya maisha ni yaleyale tu. I mean unaweza kuwa umetoweka sehemu uliyokulia lkn ukajikuta bado zile element za kule uliko toka bado zipo. Yaweza kuwa uraibu, umaskini, uzinzi au hata mataumizi mabaya ya pesa.
Wengi hushindwa kucontrol na kubadilika kutokana na kujaribu kukwepa, lakini ambacho hawajui ni kuwa Unacho kikwepa hakiachi kukufuata
What you resist persists.
Wengi wetu tulijiapia kuwa hatutojikuta kwenye hizo situation na kuna ule msemo, "labda nirogwe". Ila sooner enough tumekuwa lakini hakuna jipya maisha ni yaleyale tu. I mean unaweza kuwa umetoweka sehemu uliyokulia lkn ukajikuta bado zile element za kule uliko toka bado zipo. Yaweza kuwa uraibu, umaskini, uzinzi au hata mataumizi mabaya ya pesa.
Wengi hushindwa kucontrol na kubadilika kutokana na kujaribu kukwepa, lakini ambacho hawajui ni kuwa Unacho kikwepa hakiachi kukufuata
What you resist persists.