Unachopaswa kujua kuhusu Ushoga

Umeongea na kuweka details za kutisha tu.

Kuwa gay ni matakwa tu, kuna makala zina andaliwa kuwekwa kwenye vitabu na mitandaoni ikiwa na lengo la kupandikiza ushoga kwa njia kadhaaaa.

1. Kujenga doubts kwa walio straight kujihisi wanaweza kuwa na feelings na ushoga.

2.Kuondoa hofu kwa wanaofanya kuona kuwa ni kitu cha kawaida hata inafika hatua ya kuji expose kwa marafiki.

3.Kuweka sublimnal mesej kwa mind zetu hiii inaoperate sana.

Hizi tamhtlia zimefikia hadi kwenye katuni za watoto waanze kuwaandaaa na hizi ishu za ushoga.


#Pinga ushoga kaa mbali na vitu vinavyo pandikiza ushoga. Linda kizazi chako
 
Naendelea kujifunza. Andiko lako angalau linaonesha picha kubwa kiasi ya historia na harakati.

Kaka ...
 
Ninaendelea kusoma kitabu cha "Nongoloza Children". Kina jambo la kujifunza kuhusu ushoga pia.

Kaka ...
 
Ninaendelea kusoma kitabu cha "Nongoloza Children". Kina jambo la kujifunza kuhusu ushoga pia.

Kaka ...
Unajua jeshi lilianzishwa na Roman Empire, na ukisoma historia yao ni kuwa ushoga ulikuwepo jeshini, lakini ni mambo ya siri sana na haikuruhusiwa kujionyesha. Wengi wao walikua wanaoa uraiani na kuishi kinafiki. Mpaka miaka ya 1950-60 Ulaya ilikuwa ukijulikana ni shoga unafungwa jela.
 
juhudi zozote za kukomesha ushoga hazipaswi kubezwa! Lazima tumuunge mkono Makonda. Kama asilimia japo kidogo wataogopa makucha ya Makonda ni mafanikio. Kwangu mimi hata kule kusikia kiongozi amesimama kukemea ushoga nafarijika sana. Kama akipata ushirikiano wa kuwatambua na kuwakamata hao watu tutkuwa tumefanikiwa kwa kiasi fulani.Hakuna jambo linaanza na kufanikiwa leoleo, anahitaji muda wa kuwabaini, kuwakamata na hatimae kuwaadhibu vikali hasa wateja wao. wakikosa wateja wata perish kwasababu watakuwa hawana namna ya kupata riziki zao. Hongera Makonda kwa kuthubutu.
 
Huu uzi umenifanya niduwae kwa muda, hongera mtoa mada.Pamoja na utafiti mzuri uliouwasilisha hapa LAKINI lengo hasa la kueneza ushoga ni nini?

M/Mungu awaepushe watoto wangu...Amen.
 
Umeeleza vizuri ila sijajua kwa nini umechomekea jesuit...
Wanahusika vipi na ushoga?
Papa benedoct alijiuzulu sababu kuu ikiwa ni ushoga???...hapa umeingiza kitu usichokijua au la unajua ila umefanya makusudi....
 
Hii mada imekuwa maarufu JF haipiti siku bila uzi wa kuzungumzia huu upuuzi kuandikwa
 
Siku hz kilaaa series Ina character shoga damn... God forbid
 
Hii kitu ni janga kubwa Sana. Siku moja nimekaa kwenye baa moja naangalia TV pale arusha akaja Jamaa moja tunafahamiana nae na ana maduka kadhaa ya dawa za kilimo na mifugo kiujumla ni tajiri tosha. Na anaheshimika Sana, tukakaa nae akaagiza konyagi na kuendelea kunywa. Alipoanza kulewa nikashangaa akaanza kunipapasa sehemu zangu za uume. Na akaniomba tuhamie sehemu za chobis, nilinyanyuka haraka na kumkimbia. Wakati nataka nikamwona meneja wa ile baa akinicheka huku akiniambia vp bana mbona unaikimbia mboga? Hapo akanipa stori kuwa huyu Jamaa ndo zake akilewa anahonga ndume ili aliwe. Cha kushangaza ana mke na watoto wakubwa tu na mke ni ofisa wa serikali.
 
Ila ipo historia inayosema kwamba tatizo hili lilianza maeneo ya uarabuni na si ulaya,kwa kuwa nxhi hizo zina mila ambayo ili uolewe lazma uwe bikra kwa hyo wanawake walijilinda sana bikra zao,ila kwa kuzidiwa ndio wakajikuta wanafanya nyuma ya maumbile kulinda ubikra,ndipo hali hii ikaenea badae had mataifa ya ulaya,utafiti wa madaktari huu,wa saikolojia.
 
Chadema watatetea kila aina ya uozo mwaka huu.

Majizi, mafisadi, mashoga, vibaka, wakwepa kodi, wavuta shisha wote mtetezi wao ni chadema!!!

Hii ndio maana ya chama kubadili gia angani.
 
Weka full history ya ushoga na madhara yake.Nimeipenda hii
 
la k
la kuua udongo kweli kabisa ,,nakumbuka tuko waadogo shambani ilikua nomaaa mazao,,tulipoanza weka mbolea tu kwisha ,,udongo haufai tena kitu,,,serikali isimame jamen ardhi yetu haihitaji mbolea za nje,,,
 
ushoga umeandikwa hata kabla ya nyakati za kristo.

Hawa watu walikuwepo siku zote.

inaonekana tu wanaongezeka kwa kuwa wamekuwa free sasa.

dunia imebadilika. we're on the enlightenment era.

swali langu siku zote, DOES ABSOLUTE MORALITY EXIST? itafika siku dunia itafika viwango kamili vya maadili? au cycle itaendelea, kubadilika badilika kwa maadili kulingana na wakati?

lakini kuhusu ushoga me nasemaga tu, yeyote apractice tu me hainihusu. wala sitokutenga.

lakini mwanangu na wajukuu zangu sitaki wawe mashoga. ikinibidi kumtoa mwanangu bikra Yake kama alivyofanyiwa Lil Wayne, basi nitafanya tu(child abuse?? 😀) au nimfundishe ubazazi mapemaaa. arudi nyumbani kilema baada ya kudundwa na baba wa binti 😀
 
Yeah ... Wao walikuwa na kanuni ngumu sana. Naona huku kwetu pia Luna namna wanapima (sijui mbinu wanazotumia) kubaini hali hiyo hasa kwa waombaji wanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…