cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Nimeanzisha biashara ya bisi(popcorn) kwa packaging lakini inaenda wiki mbili sasa inatoka taratibu sana na siku nyingine haitoki kabisa. Nichukue hatua gani maana nategemea nipate faida ili niendeshe maisha. Najikuta nakula tu hela inayopatikana kidogo kama ni 1000/= naipigilia tu, yani I wish ingekuwa inakaa ndani ya siku 2 iwe imeisha ili faida nifanyie matumizi mtaji ubaki lakini wiki 2 biashara gani hii.
That s why sipendagi hizi biashara ndogo ndogo zenye faida ya 500 kwa mtaji. Nawaza nianzishe hata karanga vipi nazo zisipotoka?
That s why sipendagi hizi biashara ndogo ndogo zenye faida ya 500 kwa mtaji. Nawaza nianzishe hata karanga vipi nazo zisipotoka?