Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
My friends, ladies and gentlemen,
Kuuna hali ya wazi kabisa ya kukata taamaa na kupoteza matumani na uelekeo kwa upinzani nchini, hasa baada ya chama tawala CCM kumteua Stephen Wasira kama Makamu mwenyekiti wa CCM Taifa bara, Dr.Hussein Mwinyi kama Makamu mwenyekiti wa CCM na mgombea uraisi Zanzibar, Dr.Emmanuel Nchimbi kama mgombea mwenza wa uraisi wa JMT, na Dkt.
Samia Suluhu Hassan kama mgombea uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Unadhani ni sababu gani hasa za msingi zimewapa kiwewe upinzani hata kuweweseka, kupoteza uelekeo, matumanini na kukata tamaa kwa kiwango hiki kuelekea Oct 2025?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Kuuna hali ya wazi kabisa ya kukata taamaa na kupoteza matumani na uelekeo kwa upinzani nchini, hasa baada ya chama tawala CCM kumteua Stephen Wasira kama Makamu mwenyekiti wa CCM Taifa bara, Dr.Hussein Mwinyi kama Makamu mwenyekiti wa CCM na mgombea uraisi Zanzibar, Dr.Emmanuel Nchimbi kama mgombea mwenza wa uraisi wa JMT, na Dkt.
Samia Suluhu Hassan kama mgombea uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Unadhani ni sababu gani hasa za msingi zimewapa kiwewe upinzani hata kuweweseka, kupoteza uelekeo, matumanini na kukata tamaa kwa kiwango hiki kuelekea Oct 2025?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.