britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Fitinishi wewe, angezomewa dialloNimeipata Sehem Kuwa Mengi Kazomewa Kwa Upendeleo Katika Habari,
Kuna Mtoa Habari Mmoja Kazomewa Kutokana Na Ubaguz Wake Katika Kulipot, Sasa Alivojitokeza Mengi Kazomewa Zaidi, Unahsi Ni Kweli?
Kazomewa
Ni kweli kazomewa kama alivyozomewa Magufuli pale ubungo.
Yote kwa yote Magufuli ndiye rais wetu sasa.
kwa sababu mafisiemu hayapendi kukosolewa. Yanapenda habari za kuwasifia na kuwa pamba. Ipp media wanatangaza habari za ukweli. Mafisiemu hayapendi ukweli.