pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Leo unalalamikia zomea zomea.ccm walikua wanazomewa kongo,magufuli kazomewa ubungo na mbeya mlishangilia sana na tuliwaonya hamkusikia
Usifikiri kuwa ni ngumu sana kukupata
Rais gani mfupi mwenye kichwa kikubwa kama mbilikimo wa Congo.
we kenge pori bado hujaandamana tu?
Mkuu sijui uelekeo,nasubiri tu Lowassa aseme jambo!
Lowasa hatokuambia uandamane ila atakuambia umuue mkeo na watoto wako waliomchagua magufuli awe raisi wao,je upo tayari kwa hilo?
Ila Lowasa na Mbowe wanataka kuniua kwa presha,haki ya Mungu,Mbowe kama unanisikia unafanya mimi nadhalilika,nafsi yangu ina dhalilika.Ulisema hela,tukachanga,ukasema kampeni,tukafanya,ukasema kura,tukapiga,acha ungese Mbowe,sema unataka tufanyeje?
We jamaa ni mpuuzi sana! Sasa unataka Mbowe atoe agizo gani? Akwambie andamaneni? Yeye keshasema hawakubaliani na matokeo,,maanaake hapo jiongeze mwenyewe, kama kuingia mtaani ingia,
Sasa unajitekenya tu hapa mtandaoni!!
Alikwenda fanya nn Maan kila mtu anajua yy alikuwa yupo upande WA kaskazini mtu lazima usome nyakati
Hiyo ilikuaje?
Nimeipata Sehem Kuwa Mengi Kazomewa Kwa Upendeleo Katika Habari,
Kuna Mtoa Habari Mmoja Kazomewa Kutokana Na Ubaguz Wake Katika Kulipot, Sasa Alivojitokeza Mengi Kazomewa Zaidi, Unahsi Ni Kweli?
Watu wamemzomea alipoenda kwenye shughuli ya kumkabidhi magufuli cheti.. . Hapo ni Membe anamuokoa kumuingiza kwenye gari yake.. Mzee kazidi anageuza itv ni tawi la ukawa.
0759 84 16 85
I save you the trouble,just make a call, and dnt forget if you can look for me,I can look for you.If you can kill me,there is a possibility of me killing you,so you are welcome,absolutely welcomed
Ila Lowasa na Mbowe wanataka kuniua kwa presha,haki ya Mungu,Mbowe kama unanisikia unafanya mimi nadhalilika,nafsi yangu ina dhalilika.Ulisema hela,tukachanga,ukasema kampeni,tukafanya,ukasema kura,tukapiga,acha ungese Mbowe,sema unataka tufanyeje?