Unadhani ni Kitu gani kimembadili ghafla Profesa Shivji na sasa hana Uharaka wa Katiba Mpya huku akisema ni Jambo la Kimjadala zaidi?

Unadhani ni Kitu gani kimembadili ghafla Profesa Shivji na sasa hana Uharaka wa Katiba Mpya huku akisema ni Jambo la Kimjadala zaidi?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kama Kumbukumbu zangu hazijakosea katika wale Champions wa Kudai Katiba Mpya nchini Tanzania Profesa Shivji nae yupo au alikuwepo bila kuwasahau na Waandamizi wenzake kama akina Mzee Warioba ( Jaji na Waziri Mkuu Mstaafu ) na Mzee Butiku ( Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere ) na wengine baadhi tena Wastaafu kutoka Taasisi Nyeti Tanzania.

Hata hivyo nimeshangaa na hata Kushtushwa baada ya kuona akinukuliwa mahala hasa Magazetini na Mitandaoni sasa akisema kuwa Katiba Mpya isikurupukiwe Kwanza kwani kama Taifa tunahitaji Mjadala mpana juu ya hili.

Kwanini Wasomi tena Wanazuoni kabisa wa Tanzania wanapenda mno Kutuchanganya Akili zetu kana kwamba Watanzania wengine ni Mambumbumbu tu ni unaweza ukawaja Ujinga au Upumbavu fulani na si tu wakauamini bali wataufuata pia?

Je, Profesa Shivji yupo sahihi na ana Hoja ya Msingi Kwetu tunaojua Uwezo wake mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaaluma na Kiuweledi au pengine anaanza tu Kuzeeka vibaya hivyo tumsamehe na tumuambie atuache na ajikite zaidi katika Kuwalea Wajukuu zake na Vilembwe wake tu?
 
Yes yupo sahihi sana. Shida kubwa KATIBA MPYA imekuwa kama mjadala binafsi wa CHADEMA na utainufaisha katika mikakati yao. Hivyo kukurupukia ni kujiingiza katika njia sio.

CHADEMA kama wanaweza harakati wajaribu kuwatafuta BEN SAANANE, WAPAMBANIE WABUNGE WAO 19 nk. Ila ukiwa makini sana utagundua kuwa CDM wengi ni VILAZA, mwenyekiti anakula pesa kutoka kwa wabunge wale hivyo kazi yake ni kubadilisha topics kila uchao, na wafuasi wake walivyo wapumbavu hawahoji wala nn.
 
Nadhani aliona jinsi mchakato uliopita CCM walivyouteka. Walikuwa wanachagua watu mtaani na kuwaambia mambo ya kusema, kisha wanawapeleka kwenye kutoa maoni kipindi kamati inazunguka nchi nzima.
Tunaweza anza mchakato ikatokea kitu kama kile. Hatutapata katiba nzuri.
 
Yes yupo sahihi sana. Shida kubwa KATIBA MPYA imekuwa kama mjadala binafsi wa CHADEMA na utainufaisha katika mikakati yao. Hivyo kukurupukia ni kujiingiza katika njia sio...
Ndugu hili Andiko lako lingekuwa ni Bidhaa iliyoko Dukani kwa Mauzo ningeinunua kwa Gharama yoyote ile na hata kama ingenibidi Kukopa Pesa mahala ningefanya hivyo.

Umesema Ukweli mtupu na Heko sana.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kama Kumbukumbu zangu hazijakosea katika wale Champions wa Kudai Katiba Mpya nchini Tanzania Profesa Shivji nae yupo au alikuwepo bila kuwasahau na Waandamizi wenzake kama akina Mzee Warioba ( Jaji na Waziri Mkuu Mstaafu ) na Mzee Butiku ( Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere ) na wengine baadhi tena Wastaafu kutoka Taasisi Nyeti Tanzania.
Hata hivyo nimeshangaa na hata Kushtushwa baada ya kuona akinukuliwa mahala hasa Magazetini na Mitandaoni sasa akisema kuwa Katiba Mpya isikurupukiwe Kwanza kwani kama Taifa tunahitaji Mjadala mpana juu ya hili...
Nionavyo mimi, Prof Shivji alikuwa against toka mwanzo na kwa vile kulikuwa na vuguvugu la Katiba Mpya wakati huo, akawa amepoteza mvuto kwa wapenda mjadala wa Katiba Mpya na mvuto ukahamia kwa Polepole, Prof Kabudi, Jaji Warioba na wote waliokuwa na msimamo chanya kuhusu Katiba Mpya hadi hapo mchakato ulipoingia dosali na baadaye baadhi ya 'advocates' wa Katiba Mpya wakaanza kugeuka nyuma.

Hii U-turn kwa hao wakereketwa wa mwanzoni iliwashangaza wengi na mimi nikiwa mmjowao. Naamini tukiwa na Katiba Mpya (yaani ile iliyokuwa ikitetewa na timu ya akina Warioba) tutakuwa na sheria nzuri na mfumo mzuri wa uwajibikaji wa viongozi wa umma, including wabunge (maana kama hawa'perform' wananchi wanakuwa na nguvu ya kuwaondoa kuliko ilivyo sasa).
 
Kama Kumbukumbu zangu hazijakosea katika wale Champions wa Kudai Katiba Mpya nchini Tanzania Profesa Shivji nae yupo au alikuwepo bila kuwasahau na Waandamizi wenzake kama akina Mzee Warioba ( Jaji na Waziri Mkuu Mstaafu ) na Mzee Butiku ( Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere ) na wengine baadhi tena Wastaafu kutoka Taasisi Nyeti Tanzania...
Shivji ni mzanzibar kama Mama Rais
 
Ni mjinga pekee ambaye amesahau jinsi JK na genge lake la akina Sitta(marehemu) walivyonajisi katiba pendekezwa ya tume ya jaji Warioba!

Katiba nzuri haiwezi kutokana na mawazo ya wanasiasa kama CCM , Chadema nk.
 
Kama Kumbukumbu zangu hazijakosea katika wale Champions wa Kudai Katiba Mpya nchini Tanzania Profesa Shivji nae yupo au alikuwepo bila kuwasahau na Waandamizi wenzake kama akina Mzee Warioba ( Jaji na Waziri Mkuu Mstaafu ) na Mzee Butiku ( Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere ) na wengine baadhi tena Wastaafu kutoka Taasisi Nyeti Tanzania.

Hata hivyo nimeshangaa na hata Kushtushwa baada ya kuona akinukuliwa mahala hasa Magazetini na Mitandaoni sasa akisema kuwa Katiba Mpya isikurupukiwe Kwanza kwani kama Taifa tunahitaji Mjadala mpana juu ya hili.

Kwanini Wasomi tena Wanazuoni kabisa wa Tanzania wanapenda mno Kutuchanganya Akili zetu kana kwamba Watanzania wengine ni Mambumbumbu tu ni unaweza ukawaja Ujinga au Upumbavu fulani na si tu wakauamini bali wataufuata pia?

Je, Profesa Shivji yupo sahihi na ana Hoja ya Msingi Kwetu tunaojua Uwezo wake mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaaluma na Kiuweledi au pengine anaanza tu Kuzeeka vibaya hivyo tumsamehe na tumuambie atuache na ajikite zaidi katika Kuwalea Wajukuu zake na Vilembwe wake tu?

Hili suala haliihitaji hata IQ, uhitaji wa katiba ni jinsi sisi wananchi wenyewe tunavotaka sio mtu kakosa kura alafu anatumia neno takwa la wananchi!
 
Kama Kumbukumbu zangu hazijakosea katika wale Champions wa Kudai Katiba Mpya nchini Tanzania Profesa Shivji nae yupo au alikuwepo bila kuwasahau na Waandamizi wenzake kama akina Mzee Warioba ( Jaji na Waziri Mkuu Mstaafu ) na Mzee Butiku ( Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere ) na wengine baadhi tena Wastaafu kutoka Taasisi Nyeti Tanzania...
Tatizo rais aliye madarakani ni Mzanzibari, mwanamke na mwislamu
 
Katiba mpya ndio matumaini ya waliowengi,ili kuondokana na miugu watu,ili kujenga haki na usawa kwa wote.
Lakini sio kweli kwamba katiba tulionayo ilikuwa kila kitu kibaya.
Ubaya wa watawala hata tukileta katiba mpya ni wao kujiona miungu watu,wako juu ya sheria.
Kwa mfano katiba imevunjwa au kunajisiwa na yule ambae kaapa kulinda na kutetea katiba hiyo hiyo,na bado akazidi kuinajisi kwa nguvu zote,tena kwa mbwembwe hadi wakatunga sheria ya kutoshitakiwa kwa kosa lolote pindi wakiondoka madarakani.
Cha kushangaza akishaingia kwenye madaraka anakuwa tofauti na kiapo.
Labda sisi kama taifa hatujitambua,tumeuza utu wetu kwa genge la mafia likiamua kushoto ni kulia na kulia ni kushoto ndio hivyo, na hata likiamua kifo cha haki za binadamu ndio hivyo.
Katiba ijayo tunasisitiza isiingiliwe na genge la mafia,vinginevyo tutavuna mabua.
 
Kama Kumbukumbu zangu hazijakosea katika wale Champions wa Kudai Katiba Mpya nchini Tanzania Profesa Shivji nae yupo au alikuwepo bila kuwasahau na Waandamizi wenzake kama akina Mzee Warioba ( Jaji na Waziri Mkuu Mstaafu ) na Mzee Butiku ( Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere ) na wengine baadhi tena Wastaafu kutoka Taasisi Nyeti Tanzania.

Hata hivyo nimeshangaa na hata Kushtushwa baada ya kuona akinukuliwa mahala hasa Magazetini na Mitandaoni sasa akisema kuwa Katiba Mpya isikurupukiwe Kwanza kwani kama Taifa tunahitaji Mjadala mpana juu ya hili.

Kwanini Wasomi tena Wanazuoni kabisa wa Tanzania wanapenda mno Kutuchanganya Akili zetu kana kwamba Watanzania wengine ni Mambumbumbu tu ni unaweza ukawaja Ujinga au Upumbavu fulani na si tu wakauamini bali wataufuata pia?

Je, Profesa Shivji yupo sahihi na ana Hoja ya Msingi Kwetu tunaojua Uwezo wake mkubwa wa IQ na Kuchambua Masuala ya Kitaaluma na Kiuweledi au pengine anaanza tu Kuzeeka vibaya hivyo tumsamehe na tumuambie atuache na ajikite zaidi katika Kuwalea Wajukuu zake na Vilembwe wake tu?
Naona mahala kasema kuwa Africa Kusini na Kenya wana katiba bora lakini wanasiasa wamekuwa kwenye vita ya kuwania madaraka kwa kiasi kikubwa sana.
 
Anaamini hvi hata kama suala la katiba likirejeshwa kwa sasa tena kupitia bunge lile lenye wabunge wengi wa CCM na wengi wao hawana sifa na uwezo wa kudadavua mambo kiundani hvyo inaweza kusababisha tukapata katiba mbaya zaidi hata ya iliyopo
 
Back
Top Bottom