Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Unadhani ni kwanini?
Haahaa muuza chipsi kawa bilionea[emoji38]Jibu ni simpoo tu, ni kwamba bangi imewavuruga mpaka kuona muuza chipsi ni billionea
Looh[emoji2297]
..ongezea vya bureUhakika wa kula chipsi na kupewa urembo na muuza urembo
NAFIKIRI NI VITU VIDOGO VIDOGO NA TIME PIA....Inaweza kushangaza lakini ndo ukweli wenyewe
Unadhani ni kwanini?
Ukweli ukuweka huru