Pre GE2025 Unadhani ni kwanini vyama vya upinzani vikongwe nchini hawawaamini na hawapendelei kuwapa fursa za uongozi wa juu wanawake?

Pre GE2025 Unadhani ni kwanini vyama vya upinzani vikongwe nchini hawawaamini na hawapendelei kuwapa fursa za uongozi wa juu wanawake?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni nini hasa huchangia vyama vya upinzani nchini, kuongozwa na wanaume pekee, na kutopendelea kabisa kuwapa fursa au kuchangamana na wanawake katika uongozi wa juu ndani ya vyama vyao vya kisiasa?

Ni hawana uwezo, hawaaminiki wala kuthaminika ndani ya vyama vyao, hawana mipango madhubuti ya kuvutia, ni athari za mfumo dume ndani ya vyama, mila , desturi na imani potofu dhidi ya wanawake na uongozi, ubutu wa katiba za vyama kuhusu masula ya kijinsia, upole na unyonge wao, kutokujiamini au hakuna upendo ndani ya vyama hivyo vya kisiasa kwa wanawake?

Ni kwanini hali iko hivyo?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Hata wanachama wengi wa chama tawala hawafurahishwi na UTAWALA huu ulio tokea kwa habati mbaya.
Kiasili UTAWALA na MAMLAKA ni mwanaume ndie hufaa kuwa pale.
Na wapo wanawake wengi tu wanao amini kwenye UTAWALA na MAMLAKA ya mwanaume.
Mkuu ebu achana na mambo ya TWAWEZA...😊
 
Hata wanachama wengi wa chama tawala hawafurahishwi na UTAWALA huu ulio tokea kwa habati mbaya.
Kiasili UTAWALA na MAMLAKA ni mwanaume ndie hufaa kuwa pale.
Na wapo wanawake wengi tu wanao amini kwenye UTAWALA na MAMLAKA ya mwanaume.
Mkuu ebu achana na mambo ya TWAWEZA...😊
TWAWEZA ni ya kada wa CCM
 
Ni nini hasa huchangia vyama vya upinzani nchini, kuongozwa na wanaume pekee, na kutopendelea kabisa kuwapa fursa au kuchangamana na wanawake katika uongozi wa juu ndani ya vyama vyao vya kisiasa?

Ni hawana uwezo, hawaaminiki wala kuthaminika ndani ya vyama vyao, hawana mipango madhubuti ya kuvutia, ni athari za mfumo dume ndani ya vyama, mila , desturi na imani potofu dhidi ya wanawake na uongozi, ubutu wa katiba za vyama kuhusu masula ya kijinsia, upole na unyonge wao, kutokujiamini au hakuna upendo ndani ya vyama hivyo vya kisiasa kwa wanawake?

ni kwanini hali iko hivyo?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu ukiandika mapenzi na mahusiano unaandika vitu vizuri sana, huku kwenye siasa unaandika porojo sana.
 
Kwani nyie wanawake wa CCM mmepewa uongozi wa juu na nani au kile kifo cha Magu ndiyo mlipewa na CCM?
kwani wewe mama Ima tangu umejiunga chadema na ukawa muweka hazina wa BAWACHA ngaramtoni, umewahi kupanda hata kua mjumbe wa kamati kuu wilaya kweli achilia mbali kanda?🐒

kwan wanakuonaje kwa mfano?
 
Hata wanachama wengi wa chama tawala hawafurahishwi na UTAWALA huu ulio tokea kwa habati mbaya.
Kiasili UTAWALA na MAMLAKA ni mwanaume ndie hufaa kuwa pale.
Na wapo wanawake wengi tu wanao amini kwenye UTAWALA na MAMLAKA ya mwanaume.
Mkuu ebu achana na mambo ya TWAWEZA...😊
Nadhani sote ni mashahidi jinsi ambavyo vyama vinavyoongozwa na wanaume pekee, maamuzi yao ndani ya vyama vyao mengi yamekua ya kukurupuka sana, kunaonekana malumbano ya chini kwa chini baina ya viongozi wanaume ndani ya vyama, kunaonekana kuna kaulevi wa pombe, vyeo na madaraka kwenye maamuzi, ufujaji wa fedha za vyama n.k

Je,
hauoni kama iko haja kwa wanawake sasa kupewa fursa na kushika hatamu walau kuleta changamoto mpya na fikra mbadala za Kidemokrasia kupitia uongozi ndani ya vyama vya siasa?🐒
 
TWAWEZA ni ya kada wa CCM
Mama Ima, mama Ima, mama Ima, muweka hazina BAWACHA ngara mtoni kufuru na laana ya kuchoma vitenge hadharani imeanza kufanya kazi...

huenda ile ni miongoni mwa sababu za kutopewa nafasi? Eti mama Ima?🐒
 
Mkuu ukiandika mapenzi na mahusiano unaandika vitu vizuri sana, huku kwenye siasa unaandika porojo sana.
sasa gentleman,
unakuja kufanya nini huku kwenye majukwaa ambayo mambo mazito kwa mustakabali mwema wa umoja amani utulivu na ustawi wa Demokrasia nchini unajadiliwa?🐒

Muwe mnajionea huruma ndrugu zangu. Hebu ondoka hapa maramoja.

Huwezi elewa kitu ikiwa unaleta mambo ya majukwaa mengine kwenye mambo mahususi ya kitaifa, alaaa!🐒
 
Ni nini hasa huchangia vyama vya upinzani nchini, kuongozwa na wanaume pekee, na kutopendelea kabisa kuwapa fursa au kuchangamana na wanawake katika uongozi wa juu ndani ya vyama vyao vya kisiasa?

Ni hawana uwezo, hawaaminiki wala kuthaminika ndani ya vyama vyao, hawana mipango madhubuti ya kuvutia, ni athari za mfumo dume ndani ya vyama, mila , desturi na imani potofu dhidi ya wanawake na uongozi, ubutu wa katiba za vyama kuhusu masula ya kijinsia, upole na unyonge wao, kutokujiamini au hakuna upendo ndani ya vyama hivyo vya kisiasa kwa wanawake?

Ni kwanini hali iko hivyo?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Chama kikongwe ki wapi?
 
Ni nini hasa huchangia vyama vya upinzani nchini, kuongozwa na wanaume pekee, na kutopendelea kabisa kuwapa fursa au kuchangamana na wanawake katika uongozi wa juu ndani ya vyama vyao vya kisiasa?

Ni hawana uwezo, hawaaminiki wala kuthaminika ndani ya vyama vyao, hawana mipango madhubuti ya kuvutia, ni athari za mfumo dume ndani ya vyama, mila , desturi na imani potofu dhidi ya wanawake na uongozi, ubutu wa katiba za vyama kuhusu masula ya kijinsia, upole na unyonge wao, kutokujiamini au hakuna upendo ndani ya vyama hivyo vya kisiasa kwa wanawake?

Ni kwanini hali iko hivyo?🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Kwani CCM wanapenda? Au leo ni kwa hisani ya washirika wenza, zambarau?
 
Back
Top Bottom