Unadhani ni sababu ipi kati ya zifuatazo inapelekea Umeme Kukatika Mkapa Stadium Mechi zikiendelea?

Unadhani ni sababu ipi kati ya zifuatazo inapelekea Umeme Kukatika Mkapa Stadium Mechi zikiendelea?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Meneja wa Uwanja anatafutiwa sababu aondolewe na awekwe anayetakiwa na BMT Mpya

2. Ushirikina / Kutumia muda huo Kupuliza Dawa ( Sumu ) katika Vyumba vya Timu Pinzani ili iwalevye na wakirejea Uwanjani wawe Laini na Wachovu wapigwe Nyingi.

3. Ni hujuma ya kutaka Kuwachonganisha Mawaziri wa Nishant Makamba na Chana wa Michezo ili waonekane hawafai na Watumbuliwe na Mama ( Mheshimiwa Rais )

4. Majaribio ya Mpango wa Ugaidi kwa Siku za baadae kutoka kwa Maadui ambao huwepo Uwanjani wakiwa na Lengo la Kuona Umakini wetu upoje na Wakilipua Athari itakuwa na Ukubwa gani.

Wakati mkifikiria Kuchagua Jibu sahihi la kunipa naomba GENTAMYCINE nichukue fursa hii Kumshauri Meneja wa Uwanja wa Mkapa Mwenyewe tu aachie Ngazi leo au Kesho na isizidi hadi Siku ya Jumatano kwa kile Kiitwacho Collective Accountability kwani kuna HATARI naiona mbeleni na haitokuwa vyema Kwake kama ikimkutia akiwa bado Meneja wa Mkapa Stadium.

Ukiona nakushauri jua ninakupenda.
 
1. Meneja wa Uwanja anatafutiwa sababu aondolewe na awekwe anayetakiwa na BMT Mpya

2. Ushirikina / Kutumia muda huo Kupuliza Dawa ( Sumu ) katika Vyumba vya Timu Pinzani ili iwalevye na wakirejea Uwanjani wawe Laini na Wachovu wapigwe Nyingi.

3. Ni hujuma ya kutaka Kuwachonganisha Mawaziri wa Nishant Makamba na Chana wa Michezo ili waonekane hawafai na Watumbuliwe na Mama ( Mheshimiwa Rais )

4. Majaribio ya Mpango wa Ugaidi kwa Siku za baadae kutoka kwa Maadui ambao huwepo Uwanjani wakiwa na Lengo la Kuona Umakini wetu upoje na Wakilipua Athari itakuwa na Ukubwa gani.

Wakati mkifikiria Kuchagua Jibu sahihi la kunipa naomba GENTAMYCINE nichukue fursa hii Kumshauri Meneja wa Uwanja wa Mkapa Mwenyewe tu aachie Ngazi leo au Kesho na isizidi hadi Siku ya Jumatano kwa kile Kiitwacho Collective Accountability kwani kuna HATARI naiona mbeleni na haitokuwa vyema Kwake kama ikimkutia akiwa bado Meneja wa Mkapa Stadium.

Ukiona nakushauri jua ninakupenda.
1 na 4☑️
 
Collective accountability kwa mtanzania ni msamiati mgumu haueleweki mtu hufukuziwa kazini. Madaraka ni matamu na hulevya, no matter ni hujuma au siyo hakuna utamaduni wa kujiuzulu kunapotokea blundering kazini
 
IMG_20230420_164231.jpg
 
So Stars nao walimwaga sumu vyumba vya Uganda ??
Kisha Stars wakataka kuwachonganisha mawaziri?
Alafu unataka kusema mkakati wa ugaidi unahusishwa na watendaji wa uwanja huo?

Inafikirisha sana aise!!!
Na hapa ndio huwa tunaona ombwe la watanzania kwenye kujua mambo ya msingi lipo.

Kisha siku ukikatika kwenye mikesha ya dini km pasaka, au sherehe za kitaifa za kiserikali tutasema ni ushirikina, uchonganishi na mipango ya ugaidi??

Very Sad Indeed [emoji24][emoji24]
 
1. Meneja wa Uwanja anatafutiwa sababu aondolewe na awekwe anayetakiwa na BMT Mpya

2. Ushirikina / Kutumia muda huo Kupuliza Dawa ( Sumu ) katika Vyumba vya Timu Pinzani ili iwalevye na wakirejea Uwanjani wawe Laini na Wachovu wapigwe Nyingi.

3. Ni hujuma ya kutaka Kuwachonganisha Mawaziri wa Nishant Makamba na Chana wa Michezo ili waonekane hawafai na Watumbuliwe na Mama ( Mheshimiwa Rais )

4. Majaribio ya Mpango wa Ugaidi kwa Siku za baadae kutoka kwa Maadui ambao huwepo Uwanjani wakiwa na Lengo la Kuona Umakini wetu upoje na Wakilipua Athari itakuwa na Ukubwa gani.

Wakati mkifikiria Kuchagua Jibu sahihi la kunipa naomba GENTAMYCINE nichukue fursa hii Kumshauri Meneja wa Uwanja wa Mkapa Mwenyewe tu aachie Ngazi leo au Kesho na isizidi hadi Siku ya Jumatano kwa kile Kiitwacho Collective Accountability kwani kuna HATARI naiona mbeleni na haitokuwa vyema Kwake kama ikimkutia akiwa bado Meneja wa Mkapa Stadium.

Ukiona nakushauri jua ninakupenda.
GENTAMYCINE
Screenshot_20230501-152739_1.jpg
 
Back
Top Bottom