[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Shukrani sana .. na magu akiondoka vyuma vikalegea ntaanza kutumia dolla 4 kwa siku hapo nitakuwa tajiri wa milioni 2.5[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hongeraaa tajiri
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kumbaka katika ao million 50 zaidi ya million 20 ni tegemezi (wazee watoto,walemavu,wanawake,wasio na ajira vijana)Ukitumia fact ya uchumi kwamba kwa average kila mtanzanja anaishi chini ya dolla na mimi kwa siku natumia average ya sh 5000 ambayo ni sawa na dolla 2 kwahio mimi nawazidi zaidi ya robo tatu ya watanzania .
Hapo nna weza kuwa tajiri wa milioni kumi nikiwazidi watu mil 40...
Mikono juu kwa tajiri wa mil 10 anaewazidi watu mil 40[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na hio buku 5 kwa siku ni hela ya kuspend tu kwa chakula lakini nikiweka networth yangu nnaweza kuwa tajiri wa mil 1.8 hapo nakuwa nimewazidi watu mil 48.8..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kumbaka katika ao million 50 zaidi ya million 20 ni tegemezi (wazee watoto,walemavu,wanawake,wasio na ajira vijana)
πππmahesabu ya akili sana hayaUkitumia fact ya uchumi kwamba kwa average kila mtanzanja anaishi chini ya dolla na mimi kwa siku natumia average ya sh 5000 ambayo ni sawa na dolla 2 kwahio mimi nawazidi zaidi ya robo tatu ya watanzania .
Hapo nna weza kuwa tajiri wa milioni kumi nikiwazidi watu mil 40...
Mikono juu kwa tajiri wa mil 10 anaewazidi watu mil 40[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
45000000 kama kuna mwenzangu ajeTanzania ina zaidi ya watu million hamisin mi Kati ya Hao nadhan kwa sasa mi ni tajiri namba 11,366378.
Je we ni tajiri namba ngapi?