Unadhani Wewe Umekua Mkubwa?

Unadhani Wewe Umekua Mkubwa?

Pilipilihoho

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2016
Posts
202
Reaction score
145
Dogo mmoja alimwuliza mama yake swali ambalo lilikuwa linamsumbua sana kutokana na mazingira ya geti kali kuwa magumu sana kwa dogo.

Dogo: Hivi Mama nikifikia umri gani ndio nitakuwa mkubwa, nitaanza kuwa huru, naenda ninapotaka na kufanya ninachotaka na ninarudi muda ninaotaka na wewe mama huniulizi kitu?

Mama: Baba wako mwenyewe hajafikia umri huo…
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom