Unaelewa nini juu ya uwekezaji wa nyumba aina ya air bnb?

Unaelewa nini juu ya uwekezaji wa nyumba aina ya air bnb?

Kwa wasiojua Ni aina ya Uwekezaji kama gest house, ila inakuwa katika mfumo wa apartment hapa mteja atakuta Kila kitu, full furnished, Jiko, vyombo, blender, washing machines n.k ana uhuru wa kupika nk
 
Kwa wasiojua Ni aina ya Uwekezaji kama gest house, ila inakuwa katika mfumo wa apartment hapa mteja atakuta Kila kitu, full furnished, Jiko, vyombo, blender, washing machines n.k ana uhuru wa kupika nk
Mpka vya kupika atavikuta?
 
Kwa wasiojua Ni aina ya Uwekezaji kama gest house, ila inakuwa katika mfumo wa apartment hapa mteja atakuta Kila kitu, full furnished, Jiko, vyombo, blender, washing machines n.k ana uhuru wa kupika nk
Iko songea msamala, kwa mwezi ni 800k, pale wanapanga wazungu, au wafanyakazi was serikali km engineers, wajeda, etc.

Kila kitu kiko ndani, wee unaingia na nguo zako tyuu. Lol
 
Iko songea msamala, kwa mwezi ni 800k, pale wanapanga wazungu, au wafanyakazi was serikali km engineers, wajeda, etc.

Kila kitu kiko ndani, wee unaingia na nguo zako tyuu. Lol
Nina ndoto ya kuifanya hiyo biz, hata ya chumba na sebule tu.....ila full furnished......mteja and Yeye tu.
Zinafaa Sana wasafiri, hasa ukiwa na familia.
Afu zipo unazolipia hata per day.
 
Iko songea msamala, kwa mwezi ni 800k, pale wanapanga wazungu, au wafanyakazi was serikali km engineers, wajeda, etc.

Kila kitu kiko ndani, wee unaingia na nguo zako tyuu. Lol
Air bnb lengo lake ni kupangisha kuanzia siku Moja na kuendelea, na mfumo wa malipo yake hua ni per day, ila ukitaka kukaa hata mwaka kama mwenye nyumba akiwa Hana noma ni wewe tu, mbele watu wengi wanapangisha nyumba zao wanazoishi kabisa pindi wanapokua hawapo ili kuongeza kipato

Hizi unazosema wewe ni full furnished apartments zipo kabla hata Airbnb haijaanza ila zipo sehemu za kishua tu, uswahilini umpe mtu na Kila kitu hakawii kuita kirikuu akalala navyo mbele
 
Air bnb lengo lake ni kupangisha kuanzia siku Moja na kuendelea, na mfumo wa malipo yake hua ni per day, ila ukitaka kukaa hata mwaka kama mwenye nyumba akiwa Hana noma ni wewe tu, mbele watu wengi wanapangisha nyumba zao wanazoishi kabisa pindi wanapokua hawapo ili kuongeza kipato

Hizi unazosema wewe ni full furnished apartments zipo kabla hata Airbnb haijaanza ila zipo sehemu za kishua tu, uswahilini umpe mtu na Kila kitu hakawii kuita kirikuu akalala navyo mbele
Hilo linawazisha 🤣🤣🤣🤣, mtu anaptea tv, ila ukaguzi muhimu siku ya kurudisha chumba na mlinzi pia muhimu.
 
Air bnb lengo lake ni kupangisha kuanzia siku Moja na kuendelea, na mfumo wa malipo yake hua ni per day, ila ukitaka kukaa hata mwaka kama mwenye nyumba akiwa Hana noma ni wewe tu, mbele watu wengi wanapangisha nyumba zao wanazoishi kabisa pindi wanapokua hawapo ili kuongeza kipato

Hizi unazosema wewe ni full furnished apartments zipo kabla hata Airbnb haijaanza ila zipo sehemu za kishua tu, uswahilini umpe mtu na Kila kitu hakawii kuita kirikuu akalala navyo mbele
Watu wa Makka pia hugeuza nyumba zao air bnb wakati wa hija, wanarudi mashambani huko nyumba wanakodisha
 
Airbnb ni app ambapo popote duniani ukitaka kwenda unasearch sehemu ya kufikia. Nyumba/ apartment zenye sifa mbalimbali zipo humo, utachagua upendayo. Wengine wameweka hoteli au lodge zao katika hiyo app.

Nyumba au apartament hizo haziitwi Airbnb
 
Ni nyumba za biashara za kupanga, unakutana na kila kitu tayari, ila hulipii kwa mwezi wala mwaka, unalipia kwa siku...


Cc: Mahondaw
 
Watu wengi wakienda vacations hua wanakodi hizo ,familia ikitaka kubadilisha mazingira wanaenda mkoa tofauti au huo huo wanakodi bnb,au watu wakiwa na house party
 
Wakitoka wakaguliwe hawachelewi kuchomoa flat screen, labda wapangishwe wazungu
 
Back
Top Bottom