Unaelewa nini kuhusu Land Rover freelander 2?

Unaelewa nini kuhusu Land Rover freelander 2?

B love

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
244
Reaction score
576
Wakuu baada ya kudumu na HARRIER kwa muda nimepatwa na hamu ya kubadilisha gari. Nilitamani ALPHARD, XTRAIR au DUALIS.

Kuna jamaa yangu kanishauri kwamba huko nikama kurudi hatua moja nyuma. Anasema kama nimeamua kubadilisha gari basi ni upgrade nichukue LANDROVER FREELANDER 2.

Naombeni muongozo kuhusu gari hili kwa hali zetu za wasakatonge linatufaa?. How about price, mafuta, spare na uimara wake kwa barabara za bongo.

Ye anasema eti ni around km 25-28 mpaka linafika mikononi pamoja na ushuru, akasema ni wastani wa lita moja km9.

Naombeni maoni serious mana natakiwa kuagiza gari ndani ya mwezi huu.

Natanguliza samahani kwa usumbufu.
 
Wakuu baada ya kudumu na HARRIER kwa muda nimepatwa na hamu ya kubadilisha gari. Nilitamani ALPHARD, XTRAIR au DUALIS.

Kuna jamaa yangu kanishauri kwamba huko nikama kurudi hatua moja nyuma. Anasema kama nimeamua kubadilisha gari basi ni upgrade nichukue LANDROVER FREELANDER 2.

Naombeni muongozo kuhusu gari hili kwa hali zetu za wasakatonge linatufaa?. How about price, mafuta, spare na uimara wake kwa barabara za bongo.

Ye anasema eti ni around km 25-28 mpaka linafika mikononi pamoja na ushuru, akasema ni wastani wa lita moja km9.

Naombeni maoni serious mana natakiwa kuagiza gari ndani ya mwezi huu.

Natanguliza samahani kwa usumbufu.
Naona kampuni ya TATA imetuletea freelander 2, ebwanaa yakwanza ilikuwa na matatizo balaaa gearbox haifai spare juu ,unywaji wa mafuta juu za kwanza ukikuta karibu nyingi unakuta gearbox na au engine ni ya rav4 body freelander.
Angalia wahindi wasikuuwe kwa presha mzee🤣🤣🤣.

Kwaushauri wangu usimsikilize jamaa wewe nunua kitu roho inapenda siyo kujionyesha kwa rafiki kwamba unaweza..gari za europe kama kipato na huduma siyo nzuri itakuwa mzigo badala ya furaha.
Kama maisha ya kawaida na bado kuna mambo yamaana unataka kufanya bora ucheze kwenye toyota huku usisogee hata kwenye nisan au mazda..kwanza inatunza resale value yake hata ukitaka kubadilisha utaongeza pesa kidogo tofauti na eupean car au gari nyingine zaidi yaToyota kwa bongo.
Ukizeeka wakati wakula penshen nunua ya kukuzika nayo ,mizunguko itakuwa siyo mingi hivyo wear and tear itakuwa ndogo service mara chache na kuharibika haoto kuona
 
Naona kampuni ya TATA imetuletea freelander 2, ebwanaa yakwanza ilikuwa na matatizo balaaa gearbox haifai spare juu ,unywaji wa mafuta juu za kwanza ukikuta karibu nyingi unakuta gearbox na au engine ni ya rav4 body freelander.
Angalia wahindi wasikuuwe kwa presha mzee[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Kwaushauri wangu usimsikilize jamaa wewe nunua kitu roho inapenda siyo kujionyesha kwa rafiki kwamba unaweza..gari za europe kama kipato na huduma siyo nzuri itakuwa mzigo badala ya furaha.
Kama maisha ya kawaida na bado kuna mambo yamaana unataka kufanya bora ucheze kwenye toyota huku usisogee hata kwenye nisan au mazda..kwanza inatunza resale value yake hata ukitaka kubadilisha utaongeza pesa kidogo tofauti na eupean car au gari nyingine zaidi yaToyota kwa bongo.
Ukizeeka wakati wakula penshen nunua ya kukuzika nayo ,mizunguko itakuwa siyo mingi hivyo wear and tear itakuwa ndogo service mara chache na kuharibika haoto kuona
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu umeuwa sana. Sema hapo kwenye kununua ya kunizika nayo sasa,[emoji3][emoji3]..

By the way ahsante sana ndo mana niko hapa najifunza.. sema jamaa kaniuwa kwenye muonekano yan kanionyesha picha chuma imenyooka akanambia ni Mmarekani mwenyewe
IMG_20230101_163038.jpg
 
Wakuu baada ya kudumu na HARRIER kwa muda nimepatwa na hamu ya kubadilisha gari. Nilitamani ALPHARD, XTRAIR au DUALIS.

Kuna jamaa yangu kanishauri kwamba huko nikama kurudi hatua moja nyuma. Anasema kama nimeamua kubadilisha gari basi ni upgrade nichukue LANDROVER FREELANDER 2.

Naombeni muongozo kuhusu gari hili kwa hali zetu za wasakatonge linatufaa?. How about price, mafuta, spare na uimara wake kwa barabara za bongo.

Ye anasema eti ni around km 25-28 mpaka linafika mikononi pamoja na ushuru, akasema ni wastani wa lita moja km9.

Naombeni maoni serious mana natakiwa kuagiza gari ndani ya mwezi huu.

Natanguliza samahani kwa usumbufu.

Ushauri wangu nenda na Mazda CX-5 kuanzia 2012

TRA wameshusha ushuru sahiv ni 11 mil tu ukijumlisha C&F gari mpaka mkononi ni around 24-27mil.

ni gari nzuri sana mwonekano wa kisasa ni gari yenye skyactive technology ambayo itakupa good fuel consumption 18km/L

Hizi watu watakuja kushtuka muda sio mrefu zitaagizwa nyingi sana kama kenya na ndo atakuwa mrithi wa Dualis kwa bongo hivo spare zitapatikana kwa wingi
 
Ushauri wangu nenda na Mazda CX-5 kuanzia 2012

TRA wameshusha ushuru sahiv ni 11 mil tu ukijumlisha C&F gari mpaka mkononi ni around 24-27mil.

ni gari nzuri sana mwonekano wa kisasa ni gari yenye skyactive technology ambayo itakupa good fuel consumption 18km/L

Hizi watu watakuja kushtuka muda sio mrefu zitaagizwa nyingi sana kama kenya na ndo atakuwa mrithi wa Dualis kwa bongo hivo spare zitapatikana kwa wingi

IMG_0294.jpg

IMG_0295.jpg

IMG_0296.jpg

IMG_0297.jpg

IMG_0298.jpg
 
Acha kutisha watu kiongozi, Dunia Kijiji siku hizi. Ukikosa vipuri vya gari yako hapa nyumbani unaagiza kupitia mitandao fasta!
apaki gari wiki nzima akisubiri spare kutoka Germany😅😅😅

ikifika hapa tena aambiwe haifiti mahala husika🥵🥵🥵

Research muhimu kabla ya kulipuka
 
Ushauri wangu nenda na Mazda CX-5 kuanzia 2012

TRA wameshusha ushuru sahiv ni 11 mil tu ukijumlisha C&F gari mpaka mkononi ni around 24-27mil.

ni gari nzuri sana mwonekano wa kisasa ni gari yenye skyactive technology ambayo itakupa good fuel consumption 18km/L

Hizi watu watakuja kushtuka muda sio mrefu zitaagizwa nyingi sana kama kenya na ndo atakuwa mrithi wa Dualis kwa bongo hivo spare zitapatikana kwa wingi
Nakushukuru sana mkuu umeniongezea kitu. Ngoja nizifatilie naahidi nitaku pm kukupa mrejesho
 
Back
Top Bottom