Unaendeleza miradi kwa mikopo unajitapa umeleta maendeleo

Unaendeleza miradi kwa mikopo unajitapa umeleta maendeleo

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
Baraba ya UDART gmboto to kariakoo mkopo

75% SGR mikopo

UDART Bunju to Mwenge mkopo

Vituo vya afya 214 mikopo

20% ya mikopo vyuo vikuu mikopo

Bandari. imepewa mwarabu

Uwanja wa ndege wa KIA umebnafsishwa.

Ajira zilizotengenezwa serikalini kwa miaka 3

Wastani wa ajira 10,000 nchi nzima

Ruzuku ya CCM kwa mwaka billion 13
 
Acha chuki budaaa,apewe maua yake japo kwa 40%.
Nimefurahi sana jinsi katufumba mdomo kumalizia miradi ya JPM ambayo tulikua tunapigia kelele na kumkebei kua haezi kuimalizia
 
Mishahara.... Mikopo!
Uchaguzi.......Mikopo!
Matumizi binafsi.......Mikopo!
Kuhonga...... Mikopo!
 
Huwezi kuendeleza bila kukopa.
Hakuna Raisi ambaye hajawahi kukopa.

Magu mwenyewe alikuwa anakopa huku akiwaambia tofauti na nguvu kubwa ya propaganda ikifanya kazi yake.

Tukope kwa ajili ya maendeleo
 
Kuna shida ikiwa hiyo mikopo inalipwa? Hiyo pesa ya kufanya miradi yote wenyewe bila kutegemea mikopo nyiny CHADOMO munazo?
 
baraba ya UDART gmboto to kariakoo mkopo

75%sgr mikopo

udart bunju to mwenge mkopo

vituo vya afya 214 mikopo

20% ya mikopo vyuo vikuu mikopo

bandari. imepewa mwarabu

,Uwanja wa ndege wa KIA umebnafsishwa.

ajira zilizotengenezwa serikalini kwa miaka 3
wastani wa ajira 10,000 nchi nzima

ruzuku ya ccm kwa mwaka billion 13
Yaani kuna jambo ulielewi .


Hakuna serikali ambayo haikopi ,hata US government inakopa sema inakopa kwa mfumo wa treasury bonds . inamkopoa wa zaidi ya pato la taifa la marekani mostly 20% ya deni ni japan na china na nchi zingine .
 
Yaani kuna jambo ulielewi .


Hakuna serikali ambayo haikopi ,hata US government inakopa sema inakopa kwa mfumo wa treasury bonds . inamkopoa wa zaidi ya pato la taifa la marekani mostly 20% ya deni ni japan na china na nchi zingine .
upo sahihi mfano japan ina deni kubwa mno ila 90% ya vijana wote wana ajira rasmi

manake kulipa deni au kuendelea kukopa hakuwezi kuathiri uchumi wa raia.
 
Vyombo vya Habari vilipewa leseni kwa masharti ya kutokuisema CCM vibaya, na kila anayesema ukweli anafungiwa. Hizi ngonjera huwa zinamwisho, wala usiteseke, waache waimbe mpaka mwisho.
 
baraba ya UDART gmboto to kariakoo mkopo

75%sgr mikopo

udart bunju to mwenge mkopo

vituo vya afya 214 mikopo

20% ya mikopo vyuo vikuu mikopo

bandari. imepewa mwarabu

,Uwanja wa ndege wa KIA umebnafsishwa.

ajira zilizotengenezwa serikalini kwa miaka 3
wastani wa ajira 10,000 nchi nzima

ruzuku ya ccm kwa mwaka billion 13
Nchi itapigwa mnada kama ndugai alivyosema.
 
Viongozi wenzake walikuwa uhamishoni kuwarejesha na kuwalipa fidia,vyama havina wabunge bungeni Ila kawapa ruzuku,kuandamana ruksa,labda suala la watu kupotezwa hapa kweli apaangalie upya linawaumiza wengi ila naamini atatenda
Acha chuki budaaa,apewe maua yake japo kwa 40%.
Nimefurahi sana jinsi katufumba mdomo kumalizia miradi ya JPM ambayo tulikua tunapigia kelele na kumkebei kua haezi kuimalizia
 
baraba ya UDART gmboto to kariakoo mkopo

75%sgr mikopo

udart bunju to mwenge mkopo

vituo vya afya 214 mikopo

20% ya mikopo vyuo vikuu mikopo

bandari. imepewa mwarabu

,Uwanja wa ndege wa KIA umebnafsishwa.

ajira zilizotengenezwa serikalini kwa miaka 3
wastani wa ajira 10,000 nchi nzima

ruzuku ya ccm kwa mwaka billion 13
Kwani baba yako anapokopa kwa riba na analipa kidogo kidogo ili qjenge nyumba makazi ya kudumu nyie watoto wake muachane na kupanga anakuwa ajafanya maendelea?
 
Yaani kuna jambo ulielewi .


Hakuna serikali ambayo haikopi ,hata US government inakopa sema inakopa kwa mfumo wa treasury bonds . inamkopoa wa zaidi ya pato la taifa la marekani mostly 20% ya deni ni japan na china na nchi zingine .
Usijilinganishe na USA hata siku moja..., sababu hata ikipiga deficit ya kufa mtu ni wewe na dunia nzima ndio wanaomfadhili...

Lakini cha maana zaidi kwanini tuendelee kukopa huko na tulipe RIBA wakati kama ni miradi ya ndani na rasilimali za ndani kwanini tusijikope kutoka kwa wananchi (deficit) na wakija / tukija kulipa kunakuwa hakuna RIBA (Hata hao Japan walifanya hivyo na wakatoka kwenye Slump...

 
Back
Top Bottom