Unafahamu jina la awali la jiji la Dar es Salaam?

Unafahamu jina la awali la jiji la Dar es Salaam?

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Jiji la Dar es Salaam lilianza kama Kijiji kidogo cha wavuvi kilichojulikana kama Mzizima. Kijiji hiki kilianzishwa na Wabalawa ambao walichanganyika na Wazaramo kuelekea kwenye maeneo ya Bara la Afrika Mashariki na ambazo zilijulikana kama ‘Caravan Routes’. Ujenzi wa Makao ya Sultani pamoja na bandari ulianza rasmi mwaka 1865 katika eneo la kijiji cha Mzizima. Ujenzi huo ulikamilika mwaka 1866 na Sultani Majid bin Said kuhamia Dar es Salaam mwaka huo.

1720173359196.png

Mara baada ya Sultani Majid bin Said kuhamia Dar es Salaam mji ulianza kupanuka na uchumi wake kukua kwa kasi kubwa japo kwa kipindi kifupi ambapo Sultani Majid bin Said alifariki mwaka 1870. Kifo cha Sultani huyo kilisababisha kudidimia kwa maendeleo ya mji wa Dar es Salaam. Hali hiyo ilianza tena kubadilika mwaka 1884 kufuatia kuanzishwa kwa koloni la Wajerumani la Afrika Mashariki. Mwaka 1886 jiji hili lilipewa jina la 'Daresalaam' ikimaanisha "Bandari Salama",

Mwaka 1891 Serikali ya kikoloni ya Kijerumani iliamua kuhamisha makao makuu ya utawala wake katika Afrika Mashariki kutoka Bagamoyo na kuyaweka Dar es Salaam. Hata hivyo, baada ya Wajerumani kushindwa na Waingereza katika Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia mwaka 1916, Mji wa Dar es Salaam uliendelea kuwa makao makuu ya utawala wa koloni la Waingereza nchini Tanganyika hadi ilipojipatia uhuru wake mwaka 1961. Dar es Salaam iliendelea kuwa makao makuu ya Tanganyika huru na hatimaye kuwa makao makuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi mwaka 1972 wakati Serikali ilipoamua kuhamishia makao yake makuu mjini Dodoma. Jiji la Dar es Salaam liliendelea kubaki kuwa maarufu kwa kuwa Jiji kuu na kitovu cha biashara nchini Tanzania.
 
Jiji la Dar es Salaam lilianza kama Kijiji kidogo cha wavuvi kilichojulikana kama Mzizima. Kijiji hiki kilianzishwa na Wabalawa ambao walichanganyika na Wazaramo kuelekea kwenye maeneo ya Bara la Afrika Mashariki na ambazo zilijulikana kama ‘Caravan Routes’. Ujenzi wa Makao ya Sultani pamoja na bandari ulianza rasmi mwaka 1865 katika eneo la kijiji cha Mzizima. Ujenzi huo ulikamilika mwaka 1866 na Sultani Majid bin Said kuhamia Dar es Salaam mwaka huo.


Mara baada ya Sultani Majid bin Said kuhamia Dar es Salaam mji ulianza kupanuka na uchumi wake kukua kwa kasi kubwa japo kwa kipindi kifupi ambapo Sultani Majid bin Said alifariki mwaka 1870. Kifo cha Sultani huyo kilisababisha kudidimia kwa maendeleo ya mji wa Dar es Salaam. Hali hiyo ilianza tena kubadilika mwaka 1884 kufuatia kuanzishwa kwa koloni la Wajerumani la Afrika Mashariki. Mwaka 1886 jiji hili lilipewa jina la 'Daresalaam' ikimaanisha "Bandari Salama",

Mwaka 1891 Serikali ya kikoloni ya Kijerumani iliamua kuhamisha makao makuu ya utawala wake katika Afrika Mashariki kutoka Bagamoyo na kuyaweka Dar es Salaam. Hata hivyo, baada ya Wajerumani kushindwa na Waingereza katika Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia mwaka 1916, Mji wa Dar es Salaam uliendelea kuwa makao makuu ya utawala wa koloni la Waingereza nchini Tanganyika hadi ilipojipatia uhuru wake mwaka 1961. Dar es Salaam iliendelea kuwa makao makuu ya Tanganyika huru na hatimaye kuwa makao makuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi mwaka 1972 wakati Serikali ilipoamua kuhamishia makao yake makuu mjini Dodoma. Jiji la Dar es Salaam liliendelea kubaki kuwa maarufu kwa kuwa Jiji kuu na kitovu cha biashara nchini Tanzania.
Sijui umesoma historia ipi Ila niliyoisoma mimi nilipokiwa shule ya msingi miaka ya nyuma inasema,Sultan Said bin Sayyid aliyekuwa mtawala wa Oman aliitwaa Zanzibar na kuitawala kuanzia mwaka 1828 na ulipofika mwaka 1840 akaitwaa Mzizima. Kwakuwa alilichukua eneo la Mzizima bila mapigano ya kumwaga damu,akaamua kupaita Dar es salaam(neno la kiarabu lenye maana ya "Bandari salama"). Katika watoto aliokuwa nao huyu mzee ni Majid na Barghash ambao nao walirithi utawala wa baba yao kwa vipindi tofauti.
 
Jiji la Dar es Salaam lilianza kama Kijiji kidogo cha wavuvi kilichojulikana kama Mzizima. Kijiji hiki kilianzishwa na Wabalawa ambao walichanganyika na Wazaramo kuelekea kwenye maeneo ya Bara la Afrika Mashariki na ambazo zilijulikana kama ‘Caravan Routes’. Ujenzi wa Makao ya Sultani pamoja na bandari ulianza rasmi mwaka 1865 katika eneo la kijiji cha Mzizima. Ujenzi huo ulikamilika mwaka 1866 na Sultani Majid bin Said kuhamia Dar es Salaam mwaka huo.


Mara baada ya Sultani Majid bin Said kuhamia Dar es Salaam mji ulianza kupanuka na uchumi wake kukua kwa kasi kubwa japo kwa kipindi kifupi ambapo Sultani Majid bin Said alifariki mwaka 1870. Kifo cha Sultani huyo kilisababisha kudidimia kwa maendeleo ya mji wa Dar es Salaam. Hali hiyo ilianza tena kubadilika mwaka 1884 kufuatia kuanzishwa kwa koloni la Wajerumani la Afrika Mashariki. Mwaka 1886 jiji hili lilipewa jina la 'Daresalaam' ikimaanisha "Bandari Salama",

Mwaka 1891 Serikali ya kikoloni ya Kijerumani iliamua kuhamisha makao makuu ya utawala wake katika Afrika Mashariki kutoka Bagamoyo na kuyaweka Dar es Salaam. Hata hivyo, baada ya Wajerumani kushindwa na Waingereza katika Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia mwaka 1916, Mji wa Dar es Salaam uliendelea kuwa makao makuu ya utawala wa koloni la Waingereza nchini Tanganyika hadi ilipojipatia uhuru wake mwaka 1961. Dar es Salaam iliendelea kuwa makao makuu ya Tanganyika huru na hatimaye kuwa makao makuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi mwaka 1972 wakati Serikali ilipoamua kuhamishia makao yake makuu mjini Dodoma. Jiji la Dar es Salaam liliendelea kubaki kuwa maarufu kwa kuwa Jiji kuu na kitovu cha biashara nchini Tanzania.
Na Mbwa maji ilikuwa eneo gani katika Dar es salaam ya sasa..??
 
Mwaka 1840 mtawala wa Zanzibar alikuwa ni Sultan Majid bin Said.. Mtoto wa Sultan Seyyid Said.. Yeye aliamua kuhamisha makazi yake toka Unguja na kuhamia bara.. Ndio akaja kuishi Mzizima na kuita mji huo Dar es salaam..
Sijui umesoma historia ipi Ila niliyoisoma mimi nilipokiwa shule ya msingi miaka ya nyuma inasema,Sultan Said bin Sayyid aliyekuwa mtawala wa Oman aliitwaa Zanzibar na kuitawala kuanzia mwaka 1828 na ulipofika mwaka 1840 akaitwaa Mzizima. Kwakuwa alilichukua eneo la Mzizima bila mapigano ya kumwaga damu,akaamua kupaita Dar es salaam(neno la kiarabu lenye maana ya "Bandari salama"). Katika watoto aliokuwa nao huyu mzee ni Majid na Barghash ambao nao walirithi utawala wa baba yao kwa vipindi tofauti
 
Sijui umesoma historia ipi Ila niliyoisoma mimi nilipokiwa shule ya msingi miaka ya nyuma inasema,Sultan Said bin Sayyid aliyekuwa mtawala wa Oman aliitwaa Zanzibar na kuitawala kuanzia mwaka 1828 na ulipofika mwaka 1840 akaitwaa Mzizima. Kwakuwa alilichukua eneo la Mzizima bila mapigano ya kumwaga damu,akaamua kupaita Dar es salaam(neno la kiarabu lenye maana ya "Bandari salama"). Katika watoto aliokuwa nao huyu mzee ni Majid na Barghash ambao nao walirithi utawala wa baba yao kwa vipindi tofauti.
Zanzibar na pwani ya Afrika mashariki zilikuwa chini ya Oman hata kabla Mreno hajatimba maeneo haya.Wakati huo miji dola ilikuwa chini ya Ma imam kama magavana watiifu kwa utawala wa Oman.Mwaka 1641;Mombasa chini ya utawala wa Mazrui au Mazaria iliasi ikajitangazia Uhuru ma ikavamia Lamu ma Pemba.Aliooingia madarakani Seyyid Said akajiimarisha kwa msaada was Waingereza akaja Afrika mashariki 1828 ,akapapenda Zanzibar ma akahamia 1840.Wakati huo Seyyid Said alikuwa anatawala Afrika mashariki pamoja na Oman.Alipofariki mtoto wake Thuwein akaridhi Oman na Majid akarithi Afrika mashariki,hiyo ni 1856.Alipofariki Majid ndo akarithiwa na kaka yake mwana wa suria La kihabesh ,akijulikana kama Barghash bin said bin sultan
 
Mwaka 1840 mtawala wa Zanzibar alikuwa ni Sultan Majid bin Said.. Mtoto wa Sultan Seyyid Said.. Yeye aliamua kuhamisha makazi yake toka Unguja na kuhamia bara.. Ndio akaja kuishi Mzizima na kuita mji huo Dar es salaam..
Majid alipata usultan baada ya kifo cha baba yake 1856.Hapo ndo Zanzibar ma Oman zilipogawanywa ma kuwa himaya mbili tofauti
 
Back
Top Bottom