Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Serikali huku mkitafuta pesa za kigeni kwa nguvu kwa uwekezaji mpaka kufikia bandari.
Ila jambo linalochekesha ni yule mfunga kitambaa cha tanzania kama mwenye dhamana ya uchumi kutupeleka chaka.
Maisha yamebadilika jamani?
Leo hii naweza kuifadhi milioni 80 kwa mfumo wa sarafu aina USDT na nikafanya malipo duniani bila kupata usumbufu.
Wapo watanzania sasa wameshaamua kubadilika maana mnafatilia pesa zao na washikaji zenu TRA.
Yaani dunia yaya msipo badilika ndio maana wakenya walishatuona vilaza .mkitukanwa fateni wakenya wote wafungeni.
Ila jambo linalochekesha ni yule mfunga kitambaa cha tanzania kama mwenye dhamana ya uchumi kutupeleka chaka.
Maisha yamebadilika jamani?
Leo hii naweza kuifadhi milioni 80 kwa mfumo wa sarafu aina USDT na nikafanya malipo duniani bila kupata usumbufu.
Wapo watanzania sasa wameshaamua kubadilika maana mnafatilia pesa zao na washikaji zenu TRA.
Yaani dunia yaya msipo badilika ndio maana wakenya walishatuona vilaza .mkitukanwa fateni wakenya wote wafungeni.