emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,001
- 1,430
Katika mizunguko yangu nimekutana na mti unaozaa matunda amabao ndani yake ni kama karanga, katika kudodosa mtandaoni nikagundua unaitwa PACHIRA AQUATICA. Mti huu hufahamika zaidi kama mti unaoleta bahati au money tree.
Wenyeji huita karanga pori, nimeona wengine wakichanganya na kuuita macadamia nuts jambo ambalo siyo. Nina mbegu zake kwa ladha ni kama karanga. Kama unajua matumizi mengine ya huu mti tujuze
Mti wake huonekana hivi, lakini unakuwa mkubwa zaidi ukioteshwa mashambani
matunda yake ni makubwa tofauti na macadamia nuts.
mbegu zake (nuts) zina mistari
Wenyeji huita karanga pori, nimeona wengine wakichanganya na kuuita macadamia nuts jambo ambalo siyo. Nina mbegu zake kwa ladha ni kama karanga. Kama unajua matumizi mengine ya huu mti tujuze
Mti wake huonekana hivi, lakini unakuwa mkubwa zaidi ukioteshwa mashambani
matunda yake ni makubwa tofauti na macadamia nuts.
mbegu zake (nuts) zina mistari