Unafahamu Mtunzi akifariki, Sheria inalinda kazi zake kwa miaka 50?

Unafahamu Mtunzi akifariki, Sheria inalinda kazi zake kwa miaka 50?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Haki Post.png

Sheria za Hakimiliki hulinda wamiliki zaidi ya zinavyolinda maisha yao. Kwa Tanzania, kazi zinalindwa kwa miaka 50 baada ya Mtunzi wa mwisho kufariki

Wakati kipindi cha Ulinzi wa Hakimiliki kimekwisha, muziki, kitabu, picha, au kazi nyingine yoyote ya ubunifu iko kwenye uwanja wa Umma

Hii inamaanisha hakuna mwenye Hakimiliki tena, na kila mtu yuko huru kuiga, kuitumia na kuibadilisha bila kuwa na ruhusa ya kuomba au kumlipa mmiliki
 
Upvote 1
Sawa! Nafikiri Tanzania sijui ni nani alifariki kati ya mwaka 1970-1971 ambae kwa sasa hivi haki miliki yake ya miaka 50 imeisha.. Wazee mtukumbushe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom