Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Kwahiyo mkuu muda upi ni mzuri kufanya mazoezi?Aisee huu uzi ni mfupi unafurahisha ila umeambatana na ukweli.
Napenda sana mazoezi ya kukimbia.
Kamikaze in the house, naona wasisitiza KIAFYA [emoji23] [emoji23] [emoji23] Asante baba hutaki shida mjiniNaomba kujua kiafya mtu anatakiwa akimbie kilometer ngapi kwa siku, nasisitiza KIAFYA. Shukrani
Kwahiyo mkuu muda upi ni mzuri kufanya mazoezi?
kwahiyo mkuu hata ukikimbia asubuhi na jioni ni sawa?Asubuhi ni muda mzuri sana pia kwa wengi Upata muda huo.
Mimi kila siku naamka saa kumi na moja kasoro naanza kukimbia hadi sasa moja.
Ila Sio constant asubuhi kuna wakati inabidi nifanye mazoezi jioni sababu muda mwingine nakuwa nimebanwa.
kwahiyo mkuu hata ukikimbia asubuhi na jioni ni sawa?
Mkuu umecheza shotogkhan ,taikwando,bujuluu au ipi mda mrefu sana sijapasha even kiki boxingNaomba kujua wale wenzagu wa martial arts tunakoment wapi maana mazoezi kwetu ni kama msosi ukikosa mwili unasumbua tu.
Angalizo huwa hatujimwambafai, akitokea wa kujimwambafai huyo Mchezo haujui au mgeni.
Mtoa mada asante kwa kutukumbusha faida tuzipatazo.
Shotokan kidogo (sipendelei sana karate)Mkuu umecheza shotogkhan ,taikwando,bujuluu au ipi mda mrefu sana sijapasha even kiki boxing
Kilometa 5+ kwa kukimbia. Kutembea hatua 6,000+. Unaweza kutumia counter ya kwenye simu kujua muda uliokimbia au kutembea kwa wale wenye smart phone.Naomba kujua kiafya mtu anatakiwa akimbie kilometer ngapi kwa siku, nasisitiza KIAFYA. Shukrani
DaahNaona unamfundisha mazoezi mmeo ili aje akutatue vizuri
safi mkuuKilometa 5+ kwa kukimbia. Kutembea hatua 6,000+. Unaweza kutumia counter ya kwenye simu kujua muda uliokimbia au kutembea kwa wale wenye smart phone.
Nani alikufundisha mkuu?. Au ulijifundisha mwenyewe?Shotokan kidogo (sipendelei sana karate)
Drunken styles
Thai boxing
Taekwon-do
Capoera (paranawe)
Taichi
Kiujumla boss nimefanya sana mixed martial arts
Nakimbia km 4,natembea km 4,mara 4 kwa wiki,niko vizuri sana kiafya,nimeshuka weight kutoka 85kg sasa niko 72kg na nina umaintain,na ndio uzito niliokuwa nauhitaji,niko vizuri sana kiafya ingawa kabla ya hapo nilidevelop hypertension,kwahiyo nawashauri watu kufanya mazoezi kwa afya bora...Kilometa 5+ kwa kukimbia. Kutembea hatua 6,000+. Unaweza kutumia counter ya kwenye simu kujua muda uliokimbia au kutembea kwa wale wenye smart phone.
Mkuu kama programu ipiHakikisha japo unafanya mazoezi mara 5 kwa juma,huku uki pumzika siku mbili ila zisifuatane.
Unaweza badilisha aina ya mazoezi kadri hali inavyoruhusu,kama kutembea,kukimbia,kuogelea ama kuendesha baiskeli n.k.
Uwe na mpangilio bora wa Chakula ili kuupa mwili nishati ya kutosha kutokana na mazoezi unayofanya.
Njia iliyo nzuri ambayo itakuwa inakupa hamu ya mazoezi ni kujua lengo lako ni nini hasa,kwa mfano anaye panga kupungua basi ajipime uzito na kuweka adhma ya kupungua uzito alionao kwa kuangalia maendeleo kila mara.
Njia nyingine nikutumia teknolojia ya simu ama saa maalum ambazo hukuwezesha kuona hatua mbalimbali za maendeleo yako ukiwa mazoezini.Kwa mfano kujua mapigo yako ya moyo,umbali gani ume tembea kiasi gani cha nishati umetumia ama kupunguza.
Kuna programu nyingi kwenye Google Store ambazo unaweza kupakua na kuziunganisha na simu pamoja na saa maalum kurahisisha mazoezi kwa ujumla.View attachment 1238041