Unafanya nini ukim-miss umpendae

hua navuta hisia kama niko naye kisha nampigia sim, namwambia aniambie neno tamu kisha mambo yanakuwa fresh
 
We Unafikiri kunakumissiana kweli? Kwanza nani kakwambia upo peke yako? Ukiwa haupo anaziba nafasi mtu mwingne,mbna inajulikana jamani au wadau ukweli ni upi?
 
faster naingia bafuni na kipande cha sabuni,mambo yanaishia huko!

:A S 13::A S 13: si ulisema una nanihii na housegal wewe? nafurahi kama umeacha na sasa uko na sabuni....l.o.l
 
:A S 13::A S 13: si ulisema una nanihii na housegal wewe? nafurahi kama umeacha na sasa uko na sabuni....l.o.l

Lakini hata ukiwa na hichi kipande cha sabuni, sura mbele yako ni ya nani? Mama au housgal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…