Unafiki, Uzandiki ulio kubuhu ni tatizo kubwa sana kwa baadhi ya watendaji walio pewa dhamana katika nafasi mbalimbali.
Tatizo hili limekuwa na kukomaaa kila mahala kiasi kwamba hata usomi /taaluma na uwezo wa mtu unaweze usionekana, ukiwa mweledi wa Unafiki, fitinana uzandiki au Majungu basi unaweza kutamba kila kona.
Nawashauri viongozi wote wenye dhamana katika maeneo yao waachane na tabia za Kuendekeza Unafiki, uzandiki fitina na majungu kwani mambo hayo yanapunguza ufanisi makazini.
Tukemee unafiki, fitina, uzandiki na majungu sehemu za kazi.
Tatizo hili limekuwa na kukomaaa kila mahala kiasi kwamba hata usomi /taaluma na uwezo wa mtu unaweze usionekana, ukiwa mweledi wa Unafiki, fitinana uzandiki au Majungu basi unaweza kutamba kila kona.
Nawashauri viongozi wote wenye dhamana katika maeneo yao waachane na tabia za Kuendekeza Unafiki, uzandiki fitina na majungu kwani mambo hayo yanapunguza ufanisi makazini.
Tukemee unafiki, fitina, uzandiki na majungu sehemu za kazi.